KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Kafyeke msitu ulime,utawala ni kwa waliowekewa tayari na Mungu.Kumbuka na uelewe hatma ya watoto wangu,chakula cha familia yangu pamoja na hatma yangu imeshikiliwa na wanasisa ambao waneambiwa wale wasivimbiwe. Je,unategemea mteremko gani nipitie ili niweze kuhakikisha hicho unachosema nifanye je nitafanikiwa chini yenu