Kwa hiyi unaforce?kama ni tajiri kwanini hatokei kwenye jarida la kutathmini utajiri,hata kwenye top 15 hayupo wakati mo dewji yupo kwenye top ten miaka nenda rudi.Ni viazi tu,wakati MO anababaika kukata 20bln pale kwa makolo,mwenzake anakabidhi bilioni 200 kwa tenda ya kurusha matangazo.
Uzuri wa pesa sio maini ya mtu kwamba mpaka tumpasue ndio tuyaone.
Kama ni swala la assets basi hazimuingizii pesa inayoeleweka.
Kwa hiyi unaforce?kama ni tajiri kwanini hatokei kwenye jarida la kutathmini utajiri,hata kwenye top 15 hayupo wakati mo dewji yupo kwenye top ten miaka nenda rudi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiombe dereva ndo timuyak imefungwa abiria tutakutana akhera madukani
Tafsiri sahihi ya secta binafsi inayochangia maendeleo.Hakuna tena kukosa mechi au vipindi vya AzamTv ukiwa safarini.
Baada ya AzamTv kuleta ving’amuzi ambavyo unaweza ukafunga kwenye magari, mabasi ya mikoani yamechangamkia fursa.
Mabasi kama Mallesa, Achimwene na Shabiby yashafungwa na wateja wana enjoy.
Tumpe mzee Bakhressa maua yake ayanuse angali hai.
View attachment 2818129
Si vizuri kumuita "li"..... Ni binadamu yule aseee...kabisaaa.. silipendagi hili jamaa basi tu
Kwenye bidhaa za kila aina ni uongo.... Anauza kondomu!!??Dewji ameaajiri ajira rasmi kwa watanzania 20k wakati Bakhresa ni 8k.
Dewji ana viwanda vingi sana Tanzania na anayo bidhaa ya kila aina.
Tena ni the biggest importer wa mafuta Tanzania.
Inshort hakuna uongo na mnaoshangaa Dewji kuwa tajiri namba moja basi hamna taarifa zaidi.
Yeah lakini Mo Dewji hakuutafuta bali kaurithi na kuuendeleza yeye pamoja na ndugu zake toka kwa baba yao Mzee Gulam Dewji, hata utajiri wa Mzee Said Bakhresa asilimia kubwa unasimamiwa na kuendeshwa na Yusuf Bakhresa pamoja na ndugu zake ambao wameurithi, kwahiyo kwa kifupi Mo Dewji na Yusuf Bakhresa siyo self made walizaliwa na kuukuta utajiri kwa baba zao hivyo baba zao ndio self madeMO owns 75pc ya metl
Hayo ya wivu yametoka wapi kwani wewe baba yangu unamfahamu, hayo mambo ya urithi ni mpaka mtu afe yako kwa ngozi nyeusi tu ndio maana utajiri wa mtu mweusi huwa haudumu vizazi vingi, kwa ngozi nyeupe mtoto anaanza kurithi na kusimamia utajiri wa mzazi wake mapema ili hata mzazi akifa mtoto tayari anakuwa na experience ya kuendesha na kuendeleza biashara za mzazi wakeUrithi ni baada ya mtu kufa, wewe baba yako masikini unawaonea wengine wivu
Hapo ninapofanya Mimi kibarua ni 10000 Kwa sikuHivi kibarua pale Azam malipo kiasi gani kwa siku?
Na kibarua pale 21 century malipo kiasi gani kwa siku?
Anayelipa mshahara mkubwa ndio tajiriSasa ulitaka kusemaje?
Kwamba anayelipa mshahara mkubwa ndiye tajiri mkubwana anayelipa mshahara mdogo ni tajiri mdogo.
Kama ndiyo hivyo huoni kuwa huyo anayelipa mshahara mdogo ndiye anatengeneza faida kubwa?
Wachina wanalipa mishahara midogo sana jiulize kwa kulipa mishahara midogo kunawafanya wachina waonekane masikini
Labda mabasi ya huko Mtwara. Dar-Arusha Nani ataangalia filamu za kishamba? Sijui Sultan sijui OttomanHakuna tena kukosa mechi au vipindi vya AzamTv ukiwa safarini.
Baada ya AzamTv kuleta ving’amuzi ambavyo unaweza ukafunga kwenye magari, mabasi ya mikoani yamechangamkia fursa.
Mabasi kama Mallesa, Achimwene na Shabiby yashafungwa na wateja wana enjoy.
Tumpe mzee Bakhressa maua yake ayanuse angali hai.
View attachment 2818129
HUwa hawaelewi😂😂Labda mabasi ya huko Mtwara. Dar-Arusha Nani ataangalia filamu za kishamba?
Forbes mpaka uwaalike ndo watakutangaza. Ukikausha hauwekwi kwenye list.Mimi nazungumzia forbes ndugu.