Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
In Magu voice 😄 🤣 😂Jogoo oyeee..[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In Magu voice 😄 🤣 😂Jogoo oyeee..[emoji1787][emoji1787]
Umeonyesha takwimu??Hapa hoja sio bidhaa, hoja hapa ni nani tajiri kuliko mwingine na mm nimemjibu kuwa Mo takwimu kutoka vyanzo vyote vya kiserikali vinaonesha kuwa ana utajiri tena zaidi ya mara mbili ya Bakhresa sasa nyinyi kinacho fanya mtilie mashaka utajiri wa mo ni kitu gani hasa?
Kama ile MO Energy inayopendwa na vijana kwa kuchanfanyia na smart gin mmmmh noma sanaa aiseeeeHuwa naconsider bidhaa zote za Mo ni low quality [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
metl.netWewe uliyeleta taarifa humu ndiye mwenye jukumu la kuleta proof, copy hiyo information kwenye website na ui paste humu... Remember no data no right to speak...
Kwani king'amuzi kina channels za mpira peke yake?Ni kuwadistub tu abiria utadhani wote ni mashabiki wa mpira
Vyanzo hivyohivyo vilimtaja jacline mengi kuwa ni mwanamke anaechipukia kwa utajiri kisa kafungua duka la furniture
Hapo Bado ndo kwanza wanaanza wanasayansi hawajajaa Bado 😀😀😀Uzi umebadilika kutoka mabasi kuweka ving'amuzi hadi utajiri wa Mo na Bakhresa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunawaza ugumu kwenye mambo mepesi, mfano jambo hili tayari lina data lakini tunaulizana maswali kama tunabet hiviiiWaarabu na wahindi tu...sisi huwa tunafeli wap
Siyo kweli, hata overall huyo Mwamedi amemzidi sana BahressaMwamedi ni utajiri kwa vijana below 45 ndio anasimamiamo humo not overall
Mohammed Enterprises ni ya muda sana.. Jamaa amerithi vya wazee, Sasa huyu mwingine kaanza kuuza karanga juzijuzi! Hivi kuifikia Mo family itachukua muda!Tofautisha Mo na baba yake.
SSB yupo na pesa Mingi sana.Mnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
Jamaa kama kawalipa vile wamuonyesheUmenifanya nicheke mkuu
Mzee SSB anawatoto wapo wanaendesha hzo company but hawanaga kabisa swaga kama za moMiaka 78/46
Ukitumia akili utakuta taarifa zote ziko TRA, website zaoMkuu unafahamu Bakhresa anauza bidhaa zake karibu nchi zote za East Africa, na kote huko kaajiri watu, au mapato yake yanayotoka kwenye nchi nyingine tofauti na Tanzania hayahesabiki kwenye utajiri wake
MO owns 75pc ya metlHalafu kwanini watu wanamlinganisha Mo na Mzee Said Bakhresa mwenyewe, inatakiwa wamlinganishe Mo Dewji na Yusuf Bakhresa hao ndio rika moja, Mzee Bakhresa anatakiwa alinganishwe na baba yake Mo Mzee Gulam Dewji ndio rika moja
Watanzania wanaendeshwa na chuki tu.Siwezi kutaja viwanda kimoja kimoja viwanda viko 40.
Hizi taarifa zipo kwenye website ya MeTL group na Bakhresa group.
Na pia ni statistics ambazo unaweza zipata website za serekali.
Dewji pia anafanya hivyo.
Unajua kuwa Dewji anabiashara tofauti 126?
Mnagawana pesa badala ya kuendeleza miradiWaarabu na wahindi tu...sisi huwa tunafeli wap
Wewe humpendi wenzio wanampenda.kabisaaa.. silipendagi hili jamaa basi tu
Tatizo lenu hamsomiMwamedi huwa ana appear kama tajiri kijana.
Kama ingekuwa kwenye ball Mwamedi anakuwa kwenye category ya golden boy.
Lkn hata hivyo kwa mujibu wa takwimu East Africa bado hatuna billionaire in terms of $$$$