Siku hizi mabasi ya abiria yanafungwa ving’amuzi vya Azam TV

Siku hizi mabasi ya abiria yanafungwa ving’amuzi vya Azam TV

Hizo hapo,
View attachment 2818645

View attachment 2818646

Ila sasa cha kuzingatia, Mo yuko kwenye list ya forbes real time billionaires, inayobadilika kila siku.... na hata list ya africa's richest ya january alikuwepo. Bakhresa mara ya mwisho kutajwa ilikua chapisho la 2015.

Sasa forbes hua wanasema watu wote wanaowaweka kwenye list hua wanawasiliana nao kufanya makadirio ya hizo net worth, bakhresa kutokuwepo kwenye list tokea 2015 inaweza maanisha aliacha kuwasiliana nao, anaweza akawa ametajirika zaidi.

Kingine Mo na Bakhresa kampuni zao ni privately held, hazipo kwenye masoko ya hisa, kwahiyo ni ngumu sana kujua utajiri wao, kudanganya ni rahisi.
Sahihi
 
Wapumzike sasa kumuweka Mkojani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mabasi ya mikoani na MKOJANI kama unasafiri mara kwa mara na kampuni hiyo unaweza kuangalia movie ya Mkojani mara 6 au 7[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapo bado sinema za kizungu zilizotafsiriwa kwa kiswahili wakati watu wengi tu kuzungu wanakijua....ila mabasi lazima waweke zile kelele za watafsiri waongo na wenye kelele na mbwembwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Africa bado ni bara la giza, kila kitu shaghalabaghala.
Ni kweli mkuu yaani vitu vya hovyo na vya kipumbavu ndio watu wanafurahia
Unakuta watu wanalala ili kiongozi awakanyage juu ya migongo
Mwingine ananyanyua jogoo aliepewa zawadi anasema Jogoo Oyeeee halafu unakuta majitu yanashangilia Oyeee
Ukimuuliza unashangilia nini hapo wala hajui

Kuna wakati wazungu huwa wanakuja kufanya documentaries kama za wanyama
 
Uzi umebadilika kutoka mabasi kuweka ving'amuzi hadi utajiri wa Mo na Bakhresa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Siwezi kutaja viwanda kimoja kimoja viwanda viko 40.
Hizi taarifa zipo kwenye website ya MeTL group na Bakhresa group, pia unaweza kufatilia kwenye vyanzo mbalimbali.
MeTl imeajiri 8% ya wajiriwa.
Wewe uliyeleta taarifa humu ndiye mwenye jukumu la kuleta proof, copy hiyo information kwenye website na ui paste humu... Remember no data no right to speak...
 
.
20231113_121159.jpg
 
Ni kweli mkuu yaani vitu vya hovyo na vya kipumbavu ndio watu wanafurahia
Unakuta watu wanalala ili kiongozi awakanyage juu ya migongo
Mwingine ananyanyua jogoo aliepewa zawadi anasema Jogoo Oyeeee halafu unakuta majitu yanashangilia Oyeee
Ukimuuliza unashangilia nini hapo wala hajui

Kuna wakati wazungu huwa wanakuja kufanya documentaries kama za wanyama
Jogoo oyeee..[emoji1787][emoji1787]
 
Sasa mkuu kwani Mo akimzidi Bakhareesa ww una pungukiwa nn ? Mbona una ubishi usio na maana.

Kinacho tuambia kuwa Mo ni tajiri namba moja Tz ni takimu zilizo tolewa na vyanzo vya kuaminika vinavyo fuatilia masuala ya kifedha na uchumi vya kimataifa mpaka na vya kiserikali.

Kama serikali yako inamtambua kama tajiri namba 1 tz ww unabisha kama nani au ww una akili kuliko serikali yako?


Mo sio tajiri namba 1 Tz tu bali ni tajiri namba 1 Afrika mashariki na kati nzima.
Wewe unapungukiwa nini ukiambiwa Mo kazidiwa utajiri na Bakhresa?? [emoji12]
 
Back
Top Bottom