balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mukulu ana Noah ,Wilbard ana Noah sema nimeambiwa alishaenda Kimani.Nilipita hapo 2018 Kuna issue nilikuwa nafanyaMukulu vipi ana gari sasa hivi?
Wilbard bado yupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mukulu ana Noah ,Wilbard ana Noah sema nimeambiwa alishaenda Kimani.Nilipita hapo 2018 Kuna issue nilikuwa nafanyaMukulu vipi ana gari sasa hivi?
Wilbard bado yupo?
Maisha mazuri ni yapi? Maana kuwa na ng'ombe wengi huku unateseka sidhani kama ni maisha mazuri.Mkuu inategemea life stale ya mtu Kuna wafugaji unakuta ana ngombe elfu 3 Hana hata baiskeli kuwa na gari haimaanishi mtu ana maisha mazuri
Kuwa na gari ni maendeleo? Watz tuache upimbi basi!Mazuri sana kwa mshahara huu huu wa tgts C, D, E na F bila posho?
Sema tu wameamua kumiliki magari ila bado hawana maisha mazuri.
Maslahi ya mlinzi wa bandari inampiku headmaster kabisa
Si ndio maana nimemwambia jamaa kuwa hawana maisha mazuri sana bali wanajikongoja kumiliki magariKuwa na gari ni maendeleo? Watz tuache upimbi basi!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna cha mikopo ni mwendo wa cash on hand usilete wivu hapaKwa miaka hii ya sasa kuwa na gari ni kitu cha kawaida sana...na magari mengi ni ya mikopo...unajilipua unavuta ndinga...Kuna walimu wapo mbali sana kiuchumi...
Unafeli sana, halafu nyie wenye hivyo vyombo vyenye mota ndio mnaongoza kuning'iniza funguo hovyo na mna sifa sana. My brother trust me Magari yapo, unachomiliki wewe ni chombo kama vyombo vya kabatiniUkute huna hata Passo ya milioni 4
Taswira hiyo haiwezi kufutika mpaka maslahi yaboreshwe mkuu.Walimu hawana maisha magumu, nadhani hii taswira mnapaswa kuiacha, tatizo ni mtu mwenyewe ila sio taaluma