Siku hizi naona Walimu wana maisha mazuri sana

Siku hizi naona Walimu wana maisha mazuri sana

Nimepita sehemu fulani mitaa ya Madale kuna shule moja ya secondari ya kata, nimekuta magari kama 20 hivi yamepaki nje.

Nikajaribu kuuliza kama hayo magari ni ya walimu au wazazi wamekuja kuhudhuria vikao vya shule, nikajibiwa ni ya walimu.

Kumbe walimu mambo mazuri siku hizi eeh?

Mitano tena kwa mama yetu.
We kweli mshamba ni mwalimu gani atashindwa kukunua gari? gari la sh 12 Milioni. Acha kuendekeza umaskini
 
 
si tulikubaliana walimu hawana maisha mazuri imekuaje tena mna wasifia..?
wengine mnasema walimu wa kike ndio wanamilik hayo magari ya waume zao... 😂 cha ajabu wew mwenyew nyumban kwako umeshindwa kumuachia mkeo hata hela ya nusu kilo ya nyama, mnakula mboga za majan kilasiku kama ng'ombe...
Nyie si mlisoma sociology b/administration psychology h/resources marketing I/relation accounting banking 😂 vipi hali zenu huko nyumban kwa waume za dada zenu... Mwsho wa siku unaajiliwa kwenye kibanda cha Airtel Money mtu mzima Degree holder... Pumbav zenu kuweni na exposure ya maisha yajayo, vijana hamna Career Guidance mkifeli maisha mnaanza kuona wivu na maendeleo ya watu
😂😂😂😂
 
Nimepita sehemu fulani mitaa ya Madale kuna shule moja ya secondari ya kata, nimekuta magari kama 20 hivi yamepaki nje.

Nikajaribu kuuliza kama hayo magari ni ya walimu au wazazi wamekuja kuhudhuria vikao vya shule, nikajibiwa ni ya walimu.

Kumbe walimu mambo mazuri siku hizi eeh?

Mitano tena kwa mama yetu.
Ukiona upo kwenye taifa ambalo kumiliki Raum ni kipimo cha utajiri basi ujue hiyo nchi wananchi wake wana hali ngumu sana.
 
Hao ni wake zetu sisi tumewanunulia.
Pia hayo magari mengi unayoyana sio ya anasa ni ya kawaida chini ya 25M.
Ukiona mwalimu wa kike kanunua gari mwenyewe kwa pesa yake na anahudumia gari kwa pesa yake lazima awe na michepuko isiyopungua minne.
 
watu bado wana mawazo ya kijima,maisha yamebadilika sana.

watu wanajenga nyumba nzuri,magari mazuri wananunua na bata la kipindi wanakula.
 
Ni kweli kuwa walimu hawqna maisha mabaya kama vile jamii inavyosema ila kwa siku za usoni kumekuwa na jambo jipya kwa walimu ambalo sidhani kama ni afya kwao , nalo ni kuchukua mikopo mikubwa na kununua magari ya kifahari ambayo mpaka uwezo wa kuyaendesha kila siku ni ngumu mpka siku za mshahara

Wito wangu kwa hawa walimu ninaowaheshimu sana , ni kheri kuchukua mkopo na kuwekeza ukala hasara ila kuliko kununua gari la milioni kumi na tano na kushindwa kumudu mafuta the whole month huku ukisubili siku moja liwe screpar .

Nawapenda walimu
Ushauri tu [emoji120][emoji120][emoji120]TEKERI
 
Siku hizi Wana pack magari kibao tena mpaka walimu wa shule za msingi
 
Ni kweli kuwa walimu hawqna maisha mabaya kama vile jamii inavyosema ila kwa siku za usoni kumekuwa na jambo jipya kwa walimu ambalo sidhani kama ni afya kwao , nalo ni kuchukua mikopo mikubwa na kununua magari ya kifahari ambayo mpaka uwezo wa kuyaendesha kila siku ni ngumu mpka siku za mshahara

Wito wangu kwa hawa walimu ninaowaheshimu sana , ni kheri kuchukua mkopo na kuwekeza ukala hasara ila kuliko kununua gari la milioni kumi na tano na kushindwa kumudu mafuta the whole month huku ukisubili siku moja liwe screpar .

Nawapenda walimu
Ushauri tu [emoji120][emoji120][emoji120]TEKERI
Ina maana walimu wote hawana miradi ya kutengeneza mitonyo tofauti na kutegemea mshahara ?
 
Hao ni wake zetu sisi tumewanunulia.
Pia hayo magari mengi unayoyana sio ya anasa ni ya kawaida chini ya 25M.
Ukiona mwalimu wa kike kanunua gari mwenyewe kwa pesa yake na anahudumia gari kwa pesa yake lazima awe na michepuko isiyopungua minne.
Huna hata uwezo wa kununua bodaboda hapo ulipo
 
Back
Top Bottom