si tulikubaliana walimu hawana maisha mazuri imekuaje tena mna wasifia..?
wengine mnasema walimu wa kike ndio wanamilik hayo magari ya waume zao... 😂 cha ajabu wew mwenyew nyumban kwako umeshindwa kumuachia mkeo hata hela ya nusu kilo ya nyama, mnakula mboga za majan kilasiku kama ng'ombe...
Nyie si mlisoma sociology b/administration psychology h/resources marketing I/relation accounting banking 😂 vipi hali zenu huko nyumban kwa waume za dada zenu... Mwsho wa siku unaajiliwa kwenye kibanda cha Airtel Money mtu mzima Degree holder... Pumbav zenu kuweni na exposure ya maisha yajayo, vijana hamna Career Guidance mkifeli maisha mnaanza kuona wivu na maendeleo ya watu