Siku hizi naona Walimu wana maisha mazuri sana

Siku hizi naona Walimu wana maisha mazuri sana

Nimepita sehemu fulani mitaa ya Madale kuna shule moja ya secondari ya kata, nimekuta magari kama 20 hivi yamepaki nje.

Nikajaribu kuuliza kama hayo magari ni ya walimu au wazazi wamekuja kuhudhuria vikao vya shule, nikajibiwa ni ya walimu.

Kumbe walimu mambo mazuri siku hizi eeh?

Mitano tena kwa mama yetu.

Za walimu wa kike hizo. Unakuta mke mwalimu baba Mkurugenzi bandarini, walimu wa kiume ni dhoofu mpk soli za viatu zimepinda
 
Sidhani kumiliki gari Kama ndo kuwa na maisha mazuri.Inategemea maisha mazuri unayadefine vipi.
 
Mwalimu wa degree mshahara take home ni 600000, na hao tufanye hana deni.

Hebu nikuulize hiyo laki 6 anaweza vipo kuendesha Rav 4?? Jiongeze basi

Walimu wenye magari ni wengu ni wa like

Wa kiume huwa anachofanya tunasema "kata funua" ,anachukua mkopo wa mil 15 kwa miaka mitano, alafu anaenda kununua gari. Take home inabaki laki 3, hapo sasa huwa wiki imepark, wiki barabarani.

Kifupi wana-force. Ila walimu wengi(90%) choka mbaya Sana

to yeye
data
Makuku Rey
 
Mishahara yao inawaruhusu kukopa, pili wengine ununuliwa na wenza wao, au gari ya familia. Gari sio kipimo cha maisha bora.
 
Back
Top Bottom