Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Visa vimekuwa ni vingi sana siku hizi watu kuachiwa Gono na uti Sugu kutoka kwa mabinti ambao hawakuwadhania kulingana na urembo na usafi waliokuwa nao watu hawaamini yani wamepataje.

Juzi kuna mkongo kaja ofisini kwangu baada ya kuadimika kwa wilki mbili hakuonekana mjini tulivyomuuliza shida nini akasema kuwa alikuwa anaumwa UTI sugu hadi akalazwa kahangaika kuutibu kwa laki 3, analalamika kuna binti anauza Duka la nguo la jirani ndio kamuambukiza jamaa alitupia voko na Dola za kikongo binti akaelewa na huyo binti ni pisi shombe shombe ya kwenda msafii ukimuangalia ila kamuachia mtu uti sugu wiki mbili yupo kitandani.

Jamaa anasema Congo huko kwao hakuna Uti ndio kaja kuipata hapa tukacheka sana, jamaa anatembea na condom kwenye walet kakoma haswaa.
Mwanaume unaambukizwaje UTI sugu? Kisayansi yakadiriwa kuwa ni 3% ya wanaume ndiyo wanaweza kuambukizwa UTI. Mara nyingi ni kwa wanawake kwa kuwa wana mrija mfupi wa mkojo (urethra).
 
AMANI MOYONI
UTI NDOTONI
PESA MFUKONI
puccy is for losers
imageedit_2_9126229852.jpg
 
Mwanaume unaambukizwaje UTI sugu? Kisayansi yakadiriwa kuwa ni 3% ya wanaume ndiyo wanaweza kuambukizwa UTI. Mara nyingi ninkwa wanawake kwa kuwa wana mrija mfupi wa mkojo (urethra).
Ni kweli mkuu, wanawake hawawezi kuambukiza wanaume UTI kwa kujamiiana...
 
Watumie vitunguu saumu...

Vinakata shombo la samaki...

Kumeza...
Vitunguu swaumu ni kama antibiotics ya asili ukivitumia ukeni vinaua wale normal flora ambao wanasaidia kupambana na bacteria adui , kwa hyo apo utakuwa umefungulia njia yakupata mafangasi na lazima harufu izidi mara dufu. Japo vitunguu swaumu ni tiba nzuri ila usivitumie kama hauna uhakika kama BP yako kama ipo sawa .
 
Vitunguu swaumu ni kama antibiotics ya asili ukivitumia ukeni vinaua wale normal flora ambao wanasaidia kupambana na bacteria adui , kwa hyo apo utakuwa umefungulia njia yakupata mafangasi na lazima harufu izidi mara dufu. Japo vitunguu swaumu ni tiba nzuri ila usivitumie kama hauna uhakika kama BP yako kama ipo sawa .
Mimi naona vinaua labda ukiwa unaviweka huko chini lkn Kwa kumeza sidhni km inahrbu
 
Back
Top Bottom