Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sheria mkononi.....NAKAZIA
Mwanaume unaambukizwaje UTI sugu? Kisayansi yakadiriwa kuwa ni 3% ya wanaume ndiyo wanaweza kuambukizwa UTI. Mara nyingi ni kwa wanawake kwa kuwa wana mrija mfupi wa mkojo (urethra).Visa vimekuwa ni vingi sana siku hizi watu kuachiwa Gono na uti Sugu kutoka kwa mabinti ambao hawakuwadhania kulingana na urembo na usafi waliokuwa nao watu hawaamini yani wamepataje.
Juzi kuna mkongo kaja ofisini kwangu baada ya kuadimika kwa wilki mbili hakuonekana mjini tulivyomuuliza shida nini akasema kuwa alikuwa anaumwa UTI sugu hadi akalazwa kahangaika kuutibu kwa laki 3, analalamika kuna binti anauza Duka la nguo la jirani ndio kamuambukiza jamaa alitupia voko na Dola za kikongo binti akaelewa na huyo binti ni pisi shombe shombe ya kwenda msafii ukimuangalia ila kamuachia mtu uti sugu wiki mbili yupo kitandani.
Jamaa anasema Congo huko kwao hakuna Uti ndio kaja kuipata hapa tukacheka sana, jamaa anatembea na condom kwenye walet kakoma haswaa.
Ni kweli mkuu, wanawake hawawezi kuambukiza wanaume UTI kwa kujamiiana...Mwanaume unaambukizwaje UTI sugu? Kisayansi yakadiriwa kuwa ni 3% ya wanaume ndiyo wanaweza kuambukizwa UTI. Mara nyingi ninkwa wanawake kwa kuwa wana mrija mfupi wa mkojo (urethra).
Vitunguu swaumu ni kama antibiotics ya asili ukivitumia ukeni vinaua wale normal flora ambao wanasaidia kupambana na bacteria adui , kwa hyo apo utakuwa umefungulia njia yakupata mafangasi na lazima harufu izidi mara dufu. Japo vitunguu swaumu ni tiba nzuri ila usivitumie kama hauna uhakika kama BP yako kama ipo sawa .Watumie vitunguu saumu...
Vinakata shombo la samaki...
Kumeza...
Hatumbukizi kokoteAnatumbukiza wapi?
Umekuwa🔥Ndio maana nimepunguza kufanya mapenzi mara kwa mara..
P.I.D nayo ni ugonjwa ganiWatu hawana elimu. UTI sio ugonjwa wa zinaa na haiambukizwi.
Nyie 😅😅🙌puccy is for losers
View attachment 2744130
acheni mizinga.Nyie 😅😅🙌
Na nyie muache kupenda chiniacheni mizinga.
Bora usemeUzinzi si mzuri
Mimi naona vinaua labda ukiwa unaviweka huko chini lkn Kwa kumeza sidhni km inahrbuVitunguu swaumu ni kama antibiotics ya asili ukivitumia ukeni vinaua wale normal flora ambao wanasaidia kupambana na bacteria adui , kwa hyo apo utakuwa umefungulia njia yakupata mafangasi na lazima harufu izidi mara dufu. Japo vitunguu swaumu ni tiba nzuri ila usivitumie kama hauna uhakika kama BP yako kama ipo sawa .
Pamoja na mtindi#NAKAZIAWatumie vitunguu saumu...
Vinakata shombo la samaki...
Kumeza...
Kwani wewe hutimbagi haja zako unapeleka kwa paka auUnaona sasa... kumbe kazi yako ni kutoa chiu