Siku hizi Wadada wanaenda kupiga picha na mabegi Airport

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ama kweli maisha ndio haya haya.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]aiseeee inaonekana yashakutokea mkuu
Pole sana
unakaalika kamtu usiku mmoja tu, asubuhi ikifika kamejikunyata kwenye blanket hata mpango wa kuondoka hakana. Ukikaacha, mchana ukiangalia status zake unakuta keshapost 'chilling at home' kipindi hicho kapo kwenye sofa yako kamejiachia kama kanajua bei yake.
Vimtu vya hivi unaweza jikuta unakitoa na fimbo. huwa vibishi kuondoka balaa.
 
Kuna huyo alikuwa anakuja ofisini kwetu kupiga picha. Hahahaa!!
 
Sio tu hao wanaosoma
Hata sisi wengine tunajiona tumefail mbona tunajituma lakini hatuoni hela wala hatuli bata kumbe watu wanaigiza maisha ila tunaoumia sisi.
 
Ahaahaa cyo nyumba tu anadai kwamba yeye Huwa anaogeshwa anamlipa anaemwogesha 20mil.!jinsia yoyote alafu hataki kwenda kwao singida anajipanga kwanza siku akienda awagawie walau 5 mil @wanakijiji wote....
Mmmmh
 
muongo wewe
 
Nawe unapelekaje demu kwako ambae hauna mpango nae,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…