Siku Nilipoiona Simu Kwa Mara ya Kwanza Odeon Cinema 1955 au 1956 au Nyuma ya Hapo Kidogo Sijavuka Miaka 4

Siku Nilipoiona Simu Kwa Mara ya Kwanza Odeon Cinema 1955 au 1956 au Nyuma ya Hapo Kidogo Sijavuka Miaka 4

Nimemaanisha kuwa kuna Hazina (Watu) nyingi/wengi walikuwepo na mambo mengi ya kale lakini kwa sasa hawapo tena ila kati ya baadhi ambao wamebaki mpaka sasa wewe ni mmojawapo Al akhiy...!

SIKU NILIYOIONA SIMU KWA MARA YA KWANZA ODEON CINEMA 1955 AU 56 AU NYUMA YA HAPO KIDOGO SIJAVUKA UMRI WA MIAKA MINNE
Nakumbuka kama jana vile.

Nilikuwa mgonjwa na baba yangu mdogo Mzee Issa akanichukua kunipeleka hospitali.

Ilikuwa usiku lakini si usiku mkubwa kiasi cha saa moja hivi.

Nina hakika na hili kwa kuwa Mzee Issa kanibeba tunatoka nyumbani Mtaa wa Kipata (Sasa Kleist Sykes Street) kwa miguu na nawaona watu mtaani njia nzima hadi tunafika New Street tunavuka Mnazi Mmoja tunapita kushoto tunaelekea Sultan Street (Libya Street).

Hapa Mnazi Mmoja palikuja kujengwa Mnara wa Uhuru.

Siku zile Mnazi MMoja ile ilikuwa uwanja mtupu hauina chochote ni mchanga mtupu.

Tunaingia Ring Street (Sasa Jamhuri Street) tunapita pembeni ya Odeon Cinema tunaingia mitaa ya Uhindini jirani na Msikiti wa Sunni kulikuwa na hospitali maarufu sana ya daktari wa Kihindi nakumbuka ingawa sina hakika jina lake lilikuwa kama Dr. Koya.

Mama zetu wakimsifia sana kwa kutibu watoto.

Hii hospital imedumu hapo kwa miaka mingi hadi mimi nimekuwa mtu mzima nikipita pale nikiiona.

Baada ya kutibiwa baba yangu mdogo Mzee Issa miaka ile alikuwa kijana akawa ananirudisha nyumbani.

Ndipo tulipopita tena Odeon Cinema tukaingia ndani kwenye call box (kibanda cha simu) kilichokuwa pale ndani.

Baba yangu alikuwa kazini akifanyakazi Telephone Exchange.
Jumba hili hadi leo lipo.

Mzee Issa akatia pesa kisha akapiga simu kuzungumza na baba yangu kumfahamisha kuwa kanipeleka hospitali na nimetibiwa.

Mzee Issa akanipa simu nimwamkie baba yangu.
Sikuweza kuzungumza.

Miaka mingi ikapita.

Siku moja nikamhadithia Mzee Issa habari hii.
Alishtuka.

Akawa kashangaa kisha akaniuliza, ''Mohamed unakumbuka habari hii?''

326990267_3458502591073338_625044799509994387_n.jpg

327556309_1913726512302146_4804005542629042379_n.jpg

327246206_488592410128550_2450343156164433652_n.jpg


Nilifikiri unazungumzia wewe ulivyoitengeneza simu kumbe kuiona tu. Na unafikiri tukio hilo ni la umuhimu hadi kutuelezea? Au ulipata faida gani ulipoiona simu?
 
Complete nonsense and a pretext to drop names of mostly dead all-Muslim circle of friends, family and acquaintances. What a strange old man! It would appear like he's never ever once in his life had a friend or acquaintance of a religious persuasion other than Islam.
 
SIKU NILIYOIONA SIMU KWA MARA YA KWANZA ODEON CINEMA 1955 AU 56 AU NYUMA YA HAPO KIDOGO SIJAVUKA UMRI WA MIAKA MINNE
Nakumbuka kama jana vile.

Nilikuwa mgonjwa na baba yangu mdogo Mzee Issa akanichukua kunipeleka hospitali.

Ilikuwa usiku lakini si usiku mkubwa kiasi cha saa moja hivi.

Nina hakika na hili kwa kuwa Mzee Issa kanibeba tunatoka nyumbani Mtaa wa Kipata (Sasa Kleist Sykes Street) kwa miguu na nawaona watu mtaani njia nzima hadi tunafika New Street tunavuka Mnazi Mmoja tunapita kushoto tunaelekea Sultan Street (Libya Street).

Hapa Mnazi Mmoja palikuja kujengwa Mnara wa Uhuru.

Siku zile Mnazi MMoja ile ilikuwa uwanja mtupu hauina chochote ni mchanga mtupu.

Tunaingia Ring Street (Sasa Jamhuri Street) tunapita pembeni ya Odeon Cinema tunaingia mitaa ya Uhindini jirani na Msikiti wa Sunni kulikuwa na hospitali maarufu sana ya daktari wa Kihindi nakumbuka ingawa sina hakika jina lake lilikuwa kama Dr. Koya.

Mama zetu wakimsifia sana kwa kutibu watoto.

Hii hospital imedumu hapo kwa miaka mingi hadi mimi nimekuwa mtu mzima nikipita pale nikiiona.

Baada ya kutibiwa baba yangu mdogo Mzee Issa miaka ile alikuwa kijana akawa ananirudisha nyumbani.

Ndipo tulipopita tena Odeon Cinema tukaingia ndani kwenye call box (kibanda cha simu) kilichokuwa pale ndani.

Baba yangu alikuwa kazini akifanyakazi Telephone Exchange.
Jumba hili hadi leo lipo.

Mzee Issa akatia pesa kisha akapiga simu kuzungumza na baba yangu kumfahamisha kuwa kanipeleka hospitali na nimetibiwa.

Mzee Issa akanipa simu nimwamkie baba yangu.
Sikuweza kuzungumza.

Miaka mingi ikapita.

Siku moja nikamhadithia Mzee Issa habari hii.
Alishtuka.

Akawa kashangaa kisha akaniuliza, ''Mohamed unakumbuka habari hii?''

326990267_3458502591073338_625044799509994387_n.jpg

327556309_1913726512302146_4804005542629042379_n.jpg

327246206_488592410128550_2450343156164433652_n.jpg


Huu ni uwongo na umetunga tu story kwa sababu unazozijua wewe. Kwa mtoto wa miaka 4 kuona simu kwa mara ya kwanza siyo jambo la ajabu sana hadi kulikumbuka uzeeni. Mtoto wa umri huu vitu vingi sana katika mazingira yake ni vipya machoni, na hawezi kukumbuka kila kitu alichokiona mara ya kwanza hadi hadi liwe jambo la ajabu akilini.
 
Maso...
Mimi nina miaka 70 Alhamdulilah.

Kuwa niko "active kiakili," labda maana sina hakika nikipenda kusoma na kuandika toka udogoni.

Nguvu ya kuukwea Kilimanjaro sina.

Labda kitu kimoja ni kuwa sijatumia tumbaku wala ulevi wa aina yeyote toka kuzaliwa.
Ambacho nimesikia na naendelea ku prove right ni suala la funga ya wenzetu waislamu.

Funga hii ya Ramadhan au vinginevyo nasikia ni moja ya tiba nzuri mno ukiacha imani ya kidini.

Wapo baadhi ya watu ambao kwa hakika nawafahamu lkn licha ya uzee wao bado wana nguvu za kutosha. Yupo mzee mmoja alikuwa anafanya kazi TANESCO tangu mm nipo Chekechea lkn since then yaani kila nikikutana nae najiona mm ndo nazeeka.... lkn ukweli Mzee huyo ni mtu wa kufunga sana!!
 
Huu ni uwongo na umetunga tu story kwa sababu unazozijua wewe. Kwa mtoto wa miaka 4 kuona simu kwa mara ya kwanza siyo jambo la ajabu sana hadi kulikumbuka uzeeni. Mtoto wa umri huu vitu vingi sana katika mazingira yake ni vipya machoni, na hawezi kukumbuka kila kitu alichokiona mara ya kwanza hadi hadi liwe jambo la ajabu akilini.
My observations;
Shortly umekosa adabu; kuwa anonymous haina maana ukose adabu, unadhani mzee huyo anadanganya kwa sababu amfurahishe nani humu? Pengine humfuatilii huyu mzee lkn ukweli ni kwamba ni kati ta wazee credible sana humu JF!
 
My observations;
Shortly umekosa adabu; kuwa anonymous haina maana ukose adabu, unadhani mzee huyo anadanganya kwa sababu amfurahishe nani humu? Pengine humfuatilii huyu mzee lkn ukweli ni kwamba ni kati ta wazee credible sana humu JF!
Muulize huyo Mzee, kule St Joseph shule ya Kanisa, katikati ya jiji, alikokuwa anasoma miaka mingi, hakufahamiana au kujenga urafiki na mtu yeyote asiye Muislamu? Hata Baniani?
 
My observations;
Shortly umekosa adabu; kuwa anonymous haina maana ukose adabu, unadhani mzee huyo anadanganya kwa sababu amfurahishe nani humu? Pengine humfuatilii huyu mzee lkn ukweli ni kwamba ni kati ta wazee credible sana humu JF!


Isitoshe kila mtu Mungu kamuumba na vipawa vyake, kumbukumbu ni moja ya vipawa hivyo na pia vipawa hivyo kwa watu wengine huanza kuonekana katika umri mdogo sana.

Huyu mzee Mohammed kadhihirisha kipawa cha kumbukumbu na sishangai anapodai kwamba kwenye umri huo aliweza kukumbuka simu za aina hiyo katika call box kwani kumbukumbu nyingi za kihistoria anazoziweka humu ni ishara tosha kudhihirisha how his finest mind is.
 
SIKU NILIYOIONA SIMU KWA MARA YA KWANZA ODEON CINEMA 1955 AU 56 AU NYUMA YA HAPO KIDOGO SIJAVUKA UMRI WA MIAKA MINNE
Nakumbuka kama jana vile.

Nilikuwa mgonjwa na baba yangu mdogo Mzee Issa akanichukua kunipeleka hospitali.

Ilikuwa usiku lakini si usiku mkubwa kiasi cha saa moja hivi.

Nina hakika na hili kwa kuwa Mzee Issa kanibeba tunatoka nyumbani Mtaa wa Kipata (Sasa Kleist Sykes Street) kwa miguu na nawaona watu mtaani njia nzima hadi tunafika New Street tunavuka Mnazi Mmoja tunapita kushoto tunaelekea Sultan Street (Libya Street).

Hapa Mnazi Mmoja palikuja kujengwa Mnara wa Uhuru.

Siku zile Mnazi MMoja ile ilikuwa uwanja mtupu hauina chochote ni mchanga mtupu.

Tunaingia Ring Street (Sasa Jamhuri Street) tunapita pembeni ya Odeon Cinema tunaingia mitaa ya Uhindini jirani na Msikiti wa Sunni kulikuwa na hospitali maarufu sana ya daktari wa Kihindi nakumbuka ingawa sina hakika jina lake lilikuwa kama Dr. Koya.

Mama zetu wakimsifia sana kwa kutibu watoto.

Hii hospital imedumu hapo kwa miaka mingi hadi mimi nimekuwa mtu mzima nikipita pale nikiiona.

Baada ya kutibiwa baba yangu mdogo Mzee Issa miaka ile alikuwa kijana akawa ananirudisha nyumbani.

Ndipo tulipopita tena Odeon Cinema tukaingia ndani kwenye call box (kibanda cha simu) kilichokuwa pale ndani.

Baba yangu alikuwa kazini akifanyakazi Telephone Exchange.
Jumba hili hadi leo lipo.

Mzee Issa akatia pesa kisha akapiga simu kuzungumza na baba yangu kumfahamisha kuwa kanipeleka hospitali na nimetibiwa.

Mzee Issa akanipa simu nimwamkie baba yangu.
Sikuweza kuzungumza.

Miaka mingi ikapita.

Siku moja nikamhadithia Mzee Issa habari hii.
Alishtuka.

Akawa kashangaa kisha akaniuliza, ''Mohamed unakumbuka habari hii?''

326990267_3458502591073338_625044799509994387_n.jpg

327556309_1913726512302146_4804005542629042379_n.jpg

327246206_488592410128550_2450343156164433652_n.jpg


Kumbe ndio kwanza una miaka 70, nikadhani umri umeenda zaidi ya hapo
Nakutakia maisha marefu zaidi mzee wetu
 
Truly, a sensible baboon no longer can it be a baboon rather it can change to become a human being.

Ni Kipi kimekusibu kuandika kwa kizungu na kutoa kejeli na kashfa zenye ushabiki wa kidini??
Wapi hapo kuna ushabiki wa kidini?
 
Isitoshe kila mtu Mungu kamuumba na vipawa vyake, kumbukumbu ni moja ya vipawa hivyo na pia vipawa hivyo kwa watu wengine huanza kuonekana katika umri mdogo sana.

Huyu mzee Mohammed kadhihirisha kipawa cha kumbukumbu na sishangai anapodai kwamba kwenye umri huo aliweza kukumbuka simu za aina hiyo katika call box kwani kumbukumbu nyingi za kihistoria anazoziweka humu ni ishara tosha kudhihirisha how his finest mind is.
Mzee kadhihirisha kuwa ana "selective memory": hakumbuki kuwa na ukaribu na mtu yeyote mwenye imani tofauti na yake tokea utotoni licha ya kusoma shule za Kanisa. Halafu mtoto wa miaka 4 alyekulia katika mazingira ya Kariakoo-Dar es Salaam kukumbuka kuona simu kwa mara ya kwanza, tena akiwa uzeeni, ni jambo la ajabu sana. Mimi naamini hii ni fiksi tu.
 
Mzee kadhihirisha kuwa ana "selective memory": hakumbuki kuwa na ukaribu na mtu yeyote mwenye imani tofauti na yake tokea utotoni licha ya kusoma shule za Kanisa. Halafu mtoto wa miaka 4 alyekulia katika mazingira ya Kariakoo-Dar es Salaam kukumbuka kuona simu kwa mara ya kwanza, tena akiwa uzeeni, ni jambo la ajabu sana. Mimi naamini hii ni fiksi tu.
Njabu...
Mimi nitaeleza niyajuayo na kuyakumbuka wako wengi wananiamini.

Lakini ikiwa wewe utaniona mimi muongo hiyo ni bahati mbaya.
 
Back
Top Bottom