Siku niliyomuona Nyerere live nilisikitika sana

Siku niliyomuona Nyerere live nilisikitika sana

Mkuu Kalamu nimeamua kuandika mada hii, baada ya kuona siku hizi kuna vijana wengi mtaani na serikalini wanajiita wazalendo wa nchi hii. Lakini ukiangalia style ya maisha yao ni tofauti na uzalendo wao. Wengi wanaishi maisha ya anasa kimya kimya, kujitukuza kiaina, kujilimbikizia mali nk. Sasa naiona tofauti kubwa kati ya hawa wanaojiita wazalendo wa leo na ule muonekano wa maisha aliyokuwa anaishi baba wa taifa. Yani siku ile kwa kweli nilishangaa sana kumuona baba wa taifa akiwa katika mazingira ya msafara wa kawaida tu, kitu ambacho wengine wanaojiita wazalendo hawakiwezi.
Mwalimu Nyerere alikuwa ni mtu wa kipekee sana. Ilikuwa ni bahati nchi yetu kumpata kiongozi kama yule kwa wakati huo.
Tunahitaji kiongozi mwingine mwenye kuiweka Tanzania na wananchi wake mbele ya mambo mengine yote wakati huu.
 
Hiki kichwa kina madini sana na visa mikasa mbalimbali
Tatizo wengine hatuna kipaji cha kuandika tungeandika watu mnge burudika na kuelimika [emoji1]

Ova
Sasa mbona hapa umeandika vizuri tu na umeeleweka. Shusha vitu mkuu watu tuburudike. [emoji3][emoji3]
 
Sasa mbona hapa umeandika vizuri tu na umeeleweka. Shusha vitu mkuu watu tuburudike. [emoji3][emoji3]
Mimi siyo mwandishi mzuri..ila siku nkitulia nanikiwa mjini ntajaribu andika....nahisi andiko linaweza vuta hisia nyingi za watu

Ova
 
Kwa sasa wazalendo hamna nchi hii, kila mtu anapigania tumbo lake na familia yake.
Ni kweli wazalendo hakuna sahvi
Labda warioba....
Unajua mtu mzalendo kumgundua pia ni namna anavyo ishi....wazalendo
Hawanaga mambo ya anasa anasa ujue...
Mfano kuna wakati marehem horace kolimba alikuwa anaishi ada Estate ule mtaa wa dr Andrew zamani....
Life style ilikuwa kawaida sana hakukuwa na mambo ya ufahari
Ona pia life style ya Nyerere ni kawaida tu...
Sasa Nyerere angetaka kuwa fisadi si angetisha duniani
Sema alikuwa anaishi kwa kuridhika

Ova
 
Yah ni kweli kwa tanzania tunashindwa ku document
Mambo,waandishi wetu wako
To low kwa sasa kwenye kuandika
Mambo ya kihistoria ili vizaz,watoto wanaokuwa wajue sahv watoto wanawajua tu wakina mondi harmonise singeli udaku basi

Mfano tu,pale dodoma,mlowa nlikuwa najuana sana na mzee mmoja anaitwa mathayo myombo,jamaa 1983 alikutana na mugabe pale mlowa kwenye ufunguzi wa chama cha ushirika,yeye alimpokea pale mugabe alilala pale mlowa
Picha zake Alikuwa nazo na kuna baadhi alinipa madini sana picha hizo
Rais mwinyi naye alitimba hapo akanpokea tena kuna picha mwinyi anatimba na gari suzuki samurai
Escort pajeros 1988 hyo
Sasa ukiangalia historia ya mzee myombo,yeye alikuwaga mwizi tu wa mifugo asili yake kutoka bahi ila alikuwa na karma ya hali juu sayansi ya kilimo,wakati rais marekani Jimmy Carter jamaa aliendaga marekani uke mchakato wa kusupply mahindi ya njano kutoka marekani mzee Ali play part kubwa sana kwenye kuyagawa huko kwa watu
Badaye mzee hyo alipelekwa Hungary, Poland kuongeza maujuzi
Mimi nlipokuwa naye kwenye kilaji tulikuwa ananiambia mambo mengi
Sema huyu mzee alikuja kufariki
Na alizikwa dodoma mlowa

Ova
Duh aisee mzee amefariki bila hata kuandika kitabu. Inasikitisha sana.
 
Yah ni kweli kwa tanzania tunashindwa ku document
Mambo,waandishi wetu wako
To low kwa sasa kwenye kuandika
Mambo ya kihistoria ili vizaz,watoto wanaokuwa wajue sahv watoto wanawajua tu wakina mondi harmonise singeli udaku basi

Mfano tu,pale dodoma,mlowa nlikuwa najuana sana na mzee mmoja anaitwa mathayo myombo,jamaa 1983 alikutana na mugabe pale mlowa kwenye ufunguzi wa chama cha ushirika,yeye alimpokea pale mugabe alilala pale mlowa
Picha zake Alikuwa nazo na kuna baadhi alinipa madini sana picha hizo
Rais mwinyi naye alitimba hapo akanpokea tena kuna picha mwinyi anatimba na gari suzuki samurai
Escort pajeros 1988 hyo
Sasa ukiangalia historia ya mzee myombo,yeye alikuwaga mwizi tu wa mifugo asili yake kutoka bahi ila alikuwa na karma ya hali juu sayansi ya kilimo,wakati rais marekani Jimmy Carter jamaa aliendaga marekani uke mchakato wa kusupply mahindi ya njano kutoka marekani mzee Ali play part kubwa sana kwenye kuyagawa huko kwa watu
Badaye mzee hyo alipelekwa Hungary, Poland kuongeza maujuzi
Mimi nlipokuwa naye kwenye kilaji tulikuwa ananiambia mambo mengi
Sema huyu mzee alikuja kufariki
Na alizikwa dodoma mlowa

Ova
Hii ni kiswahili ya wapi
 
Ni kweli wazalendo hakuna sahvi
Labda warioba....
Unajua mtu mzalendo kumgundua pia ni namna anavyo ishi....wazalendo
Hawanaga mambo ya anasa anasa ujue...
Mfano kuna wakati marehem horace kolimba alikuwa anaishi ada Estate ule mtaa wa dr Andrew zamani....
Life style ilikuwa kawaida sana hakukuwa na mambo ya ufahari
Ona pia life style ya Nyerere ni kawaida tu...
Sasa Nyerere angetaka kuwa fisadi si angetisha duniani
Sema alikuwa anaishi kwa kuridhika

Ova
Ya Kolimba alikuwa ni miongoni mwa wazalendo wa nchi hii, wala haujakosea. Ndo maana wapigania tumbo wakammaliza mapema.
 
Back
Top Bottom