Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

Dah!... inatisha aisee...

Hata wastaafu wengi wanaohangaika na vibinti wamezikwa kwa kubugia ovyo haya madawa ili waweze kuhimili shoo.
 
RIP Victor. Hapa shetani hausiki
 
Hilo lipo sana, kijana akishakua Hana pesa anakua na roho ngumu sana yupo radhi kunyonya mku*** hata lisaa!!


Wanawasaidia sana matajiri majukumu. Tajiri kalemewa hela hafanyi mazoezi kitambi kinatangulia mbele futi moja ndio miguu ije. Presha kisukari nk. Akifanya dakika mbili wazungu hao na hapo anahema kama bata. Na wakati wengi wetu tunapenda kitu kisuguliwa hadi ukilala kesho yake unasikia vimaumivu. Yaani unagongwa leo utamu unadumu siku 3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…