Nakuunga mkono katika hilo, sio kila mtu wa kulala nae. Choose wisely, japo kuna wakati mihemko inachukua nafasi kubwa katika kufanya maamuzi, inatukosti.Cheat sawa but na mwanamke anyejitambua siyo kila kitu twende huwa inawacost.
Mfano,angalia Davido anavyodhalilishwa kwa kuchepuka na mwanamke kichaa huko marekeni.Anaanika chats zao, mara afanye PT insta live, mara amuingize mkewe Davido kwenye drama..
Siyo kila mtu wa kulala nae, Vingine viwapite.
Tumelingana umri tukaze maisha haya, wewe uko na akili kama zangu at 27 niliacha ujinga.Inategemea na mtu.Binafsi mwakani nitakua 30 but I stopped flirting at the age of 26.
Kuanzia 16yrs( nilivyomaliza form 4 ) mpaka around 24 yrs, nimeflirt sanaaaa mpaka saiv naona ni utoto.
Ukifika 27 yrs, Usipende ku entertain ujinga ujinga au mazoea zoea ya hovyo aka sex chats na kila mtu hata kama si type yako.
SafiTumelingana umri tukaze maisha haya, wewe uko na akili kama zangu at 27 niliacha ujinga.
Mbona unataka awe na tabia za watu wawili tofauti ππAwe wise man asizubae zubae akaja kamatwa kizembe
[emoji23][emoji23]Wife akishika simu kuangalia gallery unaogopa texts isije kuingia[emoji3][emoji3] hatari mkuu.
Mkuu Watu8 ni mkufunziπππanatakiwa kutoa somo kwa vijana namna ya kuishi, atafute upande, afundishe either wachepuke kwa tahadhari au waachane na hizi mambo as hazina manufacturers yoyote. Tatizo ni kuwa unaweza usiwe cheater physically, ila emotionally...yaani hizo flirts zako zinatosha kumfanya wife wako akose imani na wewe. I was once caught to be honest!
Mkuu Watu8 ni mkufunziπππanatakiwa kutoa somo kwa vijana namna ya kuishi, atafute upande, afundishe either wachepuke kwa tahadhari au waachane na hizi mambo as hazina manufacturers yoyote. Tatizo ni kuwa unaweza usiwe cheater physically, ila emotionally...yaani hizo flirts zako zinatosha kumfanya wife wako akose imani na wewe. I was once caught to be honest!
Halafu huyu hawajui wanaume vizuri eti hawaendekezi sex thubutu.Don't bet on a man mkuu, niamini mimi!!
Upo sahihi kabisa mkuu, mwisho wa siku unachoka na kuona unapoteza mda wako tu.Mkuu mimi nishastaafu hizo nyanga za kuamshana hisia maana kila nilipojaribu matokeo yake yalikuwa chanya na kuishia kutafunana tu...
Wanawake huwa wanasema wanaume ni wadhaifu, but trust me wanawake ni wadhaifu sana kuliko sisi wanaume, unatakiwa ujue tu ni buttons zipi za kubofya kuangusha mbuyu...
Back then nilikuwa msomaji sana wa majarida na articals za arts of flirting, na ikawa inanifanya whatever i read naitumia practically, guess what bro "migomba" mingi sana nimeiangusha...
But later unakuja realize, hayo si maisha ya kuyaishi maana ikiwa ni trend unajikuta unakuwa addicted na hakuna faida yoyote unapata...
Simu Inazimwa Kipindi Chote Wakati Hali Ni Tete Mpaka Utakapoona Nafuu Ndiyo Zinawashwasiti ya mbele kabisa kusoma comments π
Uzuri hizi mbinu na sisi wake zenu tunazisoma humu.Chukua mbinu hizo mkubwa mwenzangu, nunua kitochi na kiwe kinakaa ofisini tu...
Kuna watu wa muhimu inabidi wapigiwe kama boss ofisini na watu kama haoππSimu Inazimwa Kipindi Chote Wakati Hali Ni Tete Mpaka Utakaona Nafuu Ndiyo Zinawashwa
Em imagine umezimia utazimajeπππItazimwa tu regardless πππ
ππππMiamba ya kaskaziniππππ
Umenena mkuu, Unajikuta umetulia tuliiMimi kwangu poa tu.Akae nayo hata mwezi.
Kuna umri ukifika, mambo ya kuflirt hovyo unaacha
Ahahaha hapana.Nitamchangamsha kidogoMbona unataka awe na tabia za watu wawili tofauti ππ