Siku wazazi wakitumia mbinu za mzazi huyu familia zitaendelea. Hela anazo nyingii ila ada analipa ndogo na mtoto anapata A zote O level na A level

Siku wazazi wakitumia mbinu za mzazi huyu familia zitaendelea. Hela anazo nyingii ila ada analipa ndogo na mtoto anapata A zote O level na A level

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Mzazi wa huyu dogo ndie mzazi mjanja kuliko wote. Hela anazoo za kutosha tu..

jumba zuri la ghorofa na magari kibao. Ila Watoto wake wanasoma kayumba kuanzia msingi mpaka A level. Na bado watoto wake wanapata A zotee hakuna kufeli.

Yaani ada sisimizi ila matokeo temboo

Mtoto ukimsimamia vizuri huitaji kumpeleka shule za kukupa stress za kukopa muda wa school fees . Mfano huyu dogo na kayumba zake ila kuna sehemu anaongelea extra callicular activity yake ya piano anavyopigaga kanisani ( maana yake ana access na piano toka mdogo). Na kuna sehemu anachombeza kwa lugha za kina tusiime. Yaani kaandaliwa vizuri

Kuna wazazi wanajitesa sana kwanza wanaishi nyumba za kupanga chumba sebule na stress za kodi, kazi za mishahara midogoo ila wanakopa huku na huku na kulipa ada za mamilioni kwenye shule za kina junior wenyewe wanaziita Tusiime. Mwisho wa siku mtoto anakuwa na stress za kudaiwa daiwa school fees na za kulala sebuleni maana mzazi hana nyumba kubwa ya kumpa chumba chake kama mtoto mwisho wa siku mtoto anafeli tu.

Wazazi wanapaswa kumuiga huyu mzazi mjanja wa elimu

 
ni mtoto baba yake alishajuanni kichwa hivyo hakutaka kupiteza hela kumpeleka shule za kukaririsha, ukishaona mwanao kafaulu st7 kaenda kipaji utahangaika nini tena

Standard one mpaka seven alisoma kayumba pia..
Toka msingi ni kayumba tu. Je mzazi alijuaje kama mwanae ni kipaji . Ama chekechea kuna vipaji
 
Mzazi wa huyu dogo ndie mzazi mjanja kuliko wote. Hela anazoo za kutosha tu..

jumba zuri la ghorofa na magari kibao. Ila Watoto wake wanasoma kayumba kuanzia msingi mpaka A level. Na bado watoto wake wanapata A zotee hakuna kufeli.

Yaani ada sisimizi ila matokeo temboo


Ushauri wako ni sawa na kuona mkulima mmoja aliyelima shamba lake bila kuweka mbolea akavuna, na wewe ujiaminishe kuwa, mbolea haina tena haja hivyo unashauri wakulima walime bila kuweka mbolea...SHAME!
Kwa taarifa kidogo tu; Ukisikia Shule za kayumba usifikiri zote ni mbaya?
Ukute mwenzako anasomesha shule za kata/kayumba kama Kisimiri kule Arusha au pengine Longido nk zinazo ongoza Tanzania na wewe unajidanganya eti shule za kayumba? akili za kuambiwa changanya na za kwako.....
 
Mbahili tu na ujinga wa kutaka sifa. English muhimu kwa dunia ya sasa
Baada ya kujigundua sijui Kiingereza pamoja na kuwa na digrii mbili mkononi, niliapa sitaruhusu huu ujinga uwafuate watoto wangu. Yaani mimi pamoja na elimu yangu hii nimeambulia maneno machache sana ya kuongea... "The... The...ofkozi... bikozi.... the... ",leo hii kabinti ka form one kananifundisha english sanifu na kichina!!
Kwenye malezi kila mtu na mfumo wake.
 
Elimu sio kupata grades kubwa tu bali pia kupata experience nzuri ya maisha.
Shule kubwa za kimataifa sio kwa ajili ya kupata grades tu bali kupata exposure na mwanao kufikiria makubwa.

Mimi mwanangu atasoma kayumba ikiwa tu nimekufa.
 
Shule kongwe za serikali huwa ziko vizuri, kuanzia walimu, mazingira ya kusomea, pamoja na vitabu vya kutosha
 
Hewala Uncle. Lugha ya mzungu muhimu sana
Baada ya kujigundua sijui Kiingereza pamoja na kuwa na digrii mbili mkononi, niliapa sitaruhusu huu ujinga uwafuate watoto wangu. Yaani mimi pamoja na elimu yangu hii nimeambulia maneno machache sana ya kuongea... "The... The...ofkozi... bikozi.... the... ",leo hii kabinti ka form one kananifundisha english sanifu na kichina!!
Kwenye malezi kila mtu na mfumo wake.
 
Mzazi wa huyu dogo ndie mzazi mjanja kuliko wote. Hela anazoo za kutosha tu..

jumba zuri la ghorofa na magari kibao. Ila Watoto wake wanasoma kayumba kuanzia msingi mpaka A level. Na bado watoto wake wanapata A zotee hakuna kufeli.

Yaani ada sisimizi ila matokeo temboo

Mtoto ukimsimamia vizuri huitaji kumpeleka shule za stress za school fees. Mfano huyu dogo na kayumba zake ila kuna sehemu anaongelea piano anavyopiga. Na kuna sehemu anachombeza kwa lugha za kina tusiime. Yaani kaandaliwa vizuri


Hata mimi binafsi sina mda wa kulea Lea mitoto kindezi na mali zangu sio zao ni zangu..
 
Back
Top Bottom