Shule kongwe za serikali huwa ziko vizuri, kuanzia walimu, mazingira ya kusomea, pamoja na vitabu vya kutosha
Hahahahahaha.....,..hata mimi nimeona miyeyusho pahala. Hatudanganyiki.Wenye bando chekini video mtupe summary.
Inategemea na shule uliyompeleka. Asilimia kubwa ya wanafunzi wa sekondari waliosoma shule za english medium hawaongei na kuandika kiingereza kilichonyooka, japo kuna uafadhali ukilingisha na wale wa kidumu na mfagio.Kama umempeleka mwanao na akashindwa kujua kiingereza kadai ada yako
Anko kwenye hiyo lugha mapito ninayo yapitia mimi hadi Mungu kachoka kunionea huruma, sijui kigugumizi kinatokea wapi!!!
Usinifariji Anko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tupo wengi
Tafuta helaWenye bando chekini video mtupe summary.
Uongo mtupu, ni vile wanafunzi wanakomaa ili watusue,Shule kongwe za serikali huwa ziko vizuri, kuanzia walimu, mazingira ya kusomea, pamoja na vitabu vya kutosha
Mzazi wa huyu dogo ndie mzazi mjanja kuliko wote. Hela anazoo za kutosha tu..
Special school huwa hawafundishi, kule huwa tunafaulu kwa kutumia historia ya ufaulu wa shule. Hicho ndicho hutupa hamasa ya kusoma kwa bidii.Uongo mtupu, ni vile wanafunzi wanakomaa ili watusue,
Tena special school ndo kabisa.
Wema Sepetu anajua English vizuri tu, hiyo English yake imemfikisha wapi?Mbahili tu na ujinga wa kutaka sifa. English muhimu kwa dunia ya sasa
Wewe si ulisema umesoma private school?Special school huwa hawafundishi, kule huwa tunafaulu kwa kutumia historia ya ufaulu wa shule. Hicho ndicho hutupa hamasa ya kusoma kwa bidii.
Hoja Imeungwa Mkono!
Mkuu yan umenigusa aisee, pamoja ni kupata div 1 Olevel na alevel ila kiingereza changu cha papatu papatu [emoji3]..Baada ya kujigundua sijui Kiingereza pamoja na kuwa na digrii mbili mkononi, niliapa sitaruhusu huu ujinga uwafuate watoto wangu. Yaani mimi pamoja na elimu yangu hii nimeambulia maneno machache sana ya kuongea... "The... The...ofkozi... bikozi.... the... ",leo hii kabinti ka form one kananifundisha english sanifu na kichina!!
Kwenye malezi kila mtu na mfumo wake.
Baki hapo na fikra zako za kitumwa. Warusi na wachina wako wapi na iyo English yakoMbahili tu na ujinga wa kutaka sifa. English muhimu kwa dunia ya sasa
Hizo shule huwa zinazidiana matatizo tu,kuna mwanafunzi alihama Minaki akaenda Tosa, anafika anakuta mtu anapambana ahame aende Minaki.Uongo mtupu, ni vile wanafunzi wanakomaa ili watusue,
Tena special school ndo kabisa.
Pamoja na kukomaa ili watusue ila kumbuka wanaoenda uku ni cream tupuUongo mtupu, ni vile wanafunzi wanakomaa ili watusue,
Tena special school ndo kabisa.
Je kama nilihama unajuaje?Wewe si ulisema umesoma private school?