Ni kweli mkuu asilimia kubwa siye ndo chanzoKikubwa usimpe mwanaume wako stress
Umeongea kitu kikubwa sana ukiacha maisha,mwanamke ndo chanzo kikuu cha stress kwa mwanaume
Km ni kuhudumiwa basi ujue tupo tunatafuta hela kwa vitu vya msingi zaidi hivyo huduma unayoitaka iwe related na vipato vyetu
Mimi aofanyi kazi ili nikujudumie wewe Big No,nafanya kazi na biashara ili niwe na maisha mazuri ambayo mwisho wa siku mke na watoto wangu waishi vzr sasa ukitaka kuishi vZr leo wakati kesho yetu mimi siioni basi unakuwa chanzo cha stress na sio faraja
80% ya wanawake ni chanzo cha stress kwetu
Ni sahihi ukizingatia huu wakati ni usawa kwa wote by the way wanawake miaka hii Wana fursa nyingi kuliko wanaume lakini bado wanaona ni haki yao kihudumiwa wakisahau wajibu waoSio sahii
hahahahaha unavuta fasta
kabisaNaam, ndio huwa wanakuwa na adabu
Amina,tuache keleleWanaume kama ilivyo Kwa wanawake, hatupendi stress za rejareja. Hatupendi makelele ( hapa namaanisha mjifunze kyfikisha malalamuko, mapendekekezo au kukosoa Kwa staha). Mwanaume anaeweza kutulia na mtu yeyote anaempa utulivu, hata kama Hana kingine Cha ziada, ili tu anaonyesha kumheshimu na kumkosoa Kwa staha.
Hii haina jibu moja kwa kila mtu,au kwa kila aina ya matatizo,ni kujadiliana nyie wana ndoa,au mlio kwenye uhusianoMaana kiukweli dunia hii imeshatawaliwa na pesa ,yaan utu wa binadamu umezongwa na kitu pesa.Mwanaume hataki kuhudumia ila anataka kisafi
Haha haa,kumbe
Sawa mkuuHii haina jibu moja kwa kila mtu,au kwa kila aina ya matatizo,ni kujadiliana nyie wana ndoa,au mlio kwenye uhusiano
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Na huo ndio ukweli wakikuletea pointi sijui za heshima sijui utulivu ,tulizo hivi vyote utakuta mwamba anapata kwa mke wake bado anatoka nje so hizo point ni za ku justify matendo yao ila real reason ndio hioWa manzense kweli
Solomon alitisha sanaNa huo ndio ukweli wakikuletea pointi sijui za heshima sijui utulivu ,tulizo hivi vyote utakuta mwamba anapata kwa mke wake bado anatoka nje so hizo point ni za ku justify matendo yao ila real reason ndio hio
We unadhani king Solomon kwenye Bible alikuwa hapati heshima ,kutiiwa [emoji3]
Amina,tuache kelele