Siku ya Wanawake Duniani; Nini kifanyike katika kulinda mahusiano?

Ni sahihi ukizingatia huu wakati ni usawa kwa wote by the way wanawake miaka hii Wana fursa nyingi kuliko wanaume lakini bado wanaona ni haki yao kihudumiwa wakisahau wajibu wao
Kwaiyo na ww unataka ufaidike na hup usawa?
 
Mkuu kuna baadhi ya wanawake huwa hawajielewi...yaani unakuta mko katikati ya tendo anaanza kukumbusha habari za mchango wa harusi, mara sjui pesa ya nguo uliyomuahidi utampa lini n.k

Yaani wanakata stimu kabisa , au umerudi tu kutoka ktk mihangaiko yako umechoka ghafla anaanza kukuelezea mashtaka ya mawifi zake, watoto n.k
 
1. Niamshe nipe cha asubuhi bila ya kukuomba
2. Usilale na nguo na pia elekeza tako upande wangu/nipe mgongo wakati wa kulala.
3. Chunga sana kupigiwa simu za wanaume wengine hata kama ni wafanyakazi wenzako.
Hayo tu
 
Lets be ourself bila kujaribu kubadilishana...

Wewe ubaki kua wewe na mimi nibaki kua mimi, tutadumu kwa amani...

Baraka tele ziende kwa wanawake wote duniani...
 
Forward ever backward never

Hivi hivi tunavyoishi Sasa ndio vizuri [emoji1]
 
Ni kweli kwenye kusikiliza hapo nakili udhaifu tumepungukiwa ila kwenye kuwapa kila kitu tigo hatutoi maana kwenye kujifungua tunapodhalilika nyie mnakuwa hampo
Tigo Tena !? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] SMH [emoji32]
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji119]
 
Kwanza kabisa swala la mwanamke kuwa na mindset kwamba mwanaume amuhudumie ili apendeze tayari tatizo
Kubwa Sana halafu hapo hapo wanataka 50/50 wakati bado hawataki kuwa independent , wewe Umeshawahi kuona wapi anayelishwa akawa na kauli ya mwisho ktk huu ulimwengu!?
 
Ni kweli kwenye kusikiliza hapo nakili udhaifu tumepungukiwa ila kwenye kuwapa kila kitu tigo hatutoi maana kwenye kujifungua tunapodhalilika nyie mnakuwa hampo
Hahahahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…