Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee tulipoishiaHakuna mkuu
hahahaha .nimepunguzaSawa mkuu,vp leo umeamka nazo au umepunguza?
hahahahaKeshapigwa na kitu kizito but kaongea ukweli mkuu iman hakuna sikuhizi ni kama tunaviziana
Tatizo mnataka maslay queen washachoka na mchuchumio huende ukamchoshe tena...tafuta sisi tuliokomaa mpaka ugoko ili tukufyonze mpaka iniMwanaume anahitaji sana HESHIMA na UTII kutoka kwa mwanamke.
Pili, ni kumridhisha katika suala la kitandani!!! Mwanamke ajue kujituma awapo kitandani (asiwe goigoi), yaani mwanamke akiwa kitandani anatakiwa awe kama Malaya kwa mumewe. Be wild
Ukifanya hayo ,mwanaume utamkamata daima.Yaani nafsi yake itakuwa mtumwa kwako.
Kila mtu na machaguo yake, i like natural women.Masuala ya mawigi, kope za bandia, make ups na ushubwada mwingine huwa siufagilii.Tatizo mnataka maslay queen washachoka na mchuchumio huende ukamchoshe tena...tafuta sisi tuliokomaa mpaka ugoko ili tukufyonze mpaka ini
Wapo mkuu ila cha ajabu dunia hii haikupi kinachostahili na ndo maana hatukomi kulialia na haya mapenzKila mtu na machaguo yake, i like natural women.Masuala ya mawigi, kope za bandia, make ups na ushubwada mwingine huwa siufagilii.
Mwanamke napenda awe natural, asitumie mkorogo na pia awe msafi wa kiwiliwili chake . Pia awe kama malaya awapo ndani ya nyumba yake, nje ya nyumba awe mstaarabu tu. Pia awe na heshima na mtiifu.
hahaha haya bibie nimekusomaMbona unataka nitafsiri tena wakati tulikuwa tunaenda vizuri tu mwee
Sio sahiimwanamke kutaka kuhudumiwa na mwanaume ni dalili ya umasikini, tafuta hela hata mwanaume naye ni chombo cha starehe tu
Inamaana upepo umebadilika[emoji44]mwanamke kutaka kuhudumiwa na mwanaume ni dalili ya umasikini, tafuta hela hata mwanaume naye ni chombo cha starehe tu