Siku yangu ya kwanza kuingia ofisi za kubeti kwa bahati mbaya

Word πŸ“Œ
 
Pesa ya betting Ili vyo na LAANA,

Ukitetereka kidogo, utavuuza vyote Ili urudi kubeti.

Niliona Kwa macho yangu, mtu aliyejenga nyumba kutokana na pesa ya betting akiiuza Kisha kumaliza pesa zote kwenye kubeti.

Mungu atusaidie.
Hazina laana bali hiyo tafsiri hutokana na kiwewe cha mhusika kinachopelekea kuhisi hicho kiasi cha fedha ni kikubwa sana hivyo anakuwa na matumizi yasiyokuwa na tija. Akishituka amebakiwa na sh 250 kutoka 6M.

Sasa anaanza kusingizia laana.
Mimi nikaa siku 3 hata familia yangu na majirani bila kujua na fedha ziko bank,walipoanza kuniuliza kuhusu safari jibu wakuja kulipata nilipowachukua kwenda kuwa mashahidi kipindi ninanunua maeneo.

Utulivu na umakini ni mhimu.
Mimi ni mvuvi na nimepata fedha kiasi kutokana na kazi hiyo lkn pia na shughuri za uchimbaji madini.
Niamini mimi,hakuna fedha inayopatikana kihalali ikawa na laana labda wewe ndiye uwe na laana.

Zingatia matumizi yasizidi kipato,bet kiafya na siyo kama kazi.
 
Wana laana wao halafu wanasingizia fedha.
Siyo kila mtu ana kichwa kidogo km wao.
 
Kwamba bet kiafya sioπŸ˜€

Ni sawa tu na dini Ile inayosema kunywa kidogo ila usilewe!!

Yaani sababu Hasa ya kunywa ni ipi ikiwa unakunywa Ili usilewe?

Dunia ni hadaa, walimwengu shujaa.

Kijana, kaa mbali na betting!!
 
Huwezi kuukwepa utandawazi
 
Kwamba bet kiafya sioπŸ˜€

Ni sawa tu na dini Ile inayosema kunywa kidogo ila usilewe!!

Yaani sababu Hasa ya kunywa ni ipi ikiwa unakunywa Ili usilewe?

Dunia ni hadaa, walimwengu shujaa.

Kijana, kaa mbali na betting!!
Sijui umeelewa nini niposema kiafya.
Nimesema kiafya kwa maana kwamba isiwe km dozi,isiwe lazima wala mazoea.
 
Mfano wilaya ya Kilolo nimetembea Idete lipo ,bomang'ombe yapo,, ,lulanzi ,kisinga yapo mengi,, inaumiza sana hadi wabibi na wababu wanacheza
Wale wachina wanatokaga Kilolo na kuja hapa mjini wakiwa na ile Kruger yao wakiwa na 20M kila week.
 
Wale wachina wanatokaga Kilolo na kuja hapa mjini wakiwa na ile Kruger yao wakiwa na 20M kila week.
Halafu Serikali inakwenda kuomba mikopo nje ilhali wachina wanaingia nchini na kufukarisha wananchi kupitia betting Kisha wanarudi kwao matajiri!!
 
Uzoefu wangu wa kubeti asee huu mchezo mbaya yan ukiweka 5000 afu posibo winning after tax unaona milion moja basi ww unawaza milion tu ile unasahau oabisa kama umetoa 5000 imeenda.... Unachana kesho unaweka tena...

Siku ukila kama unatunza kumbukumbuku za mikeka uliyochana ukatoa ulizopta na ulizoliwa utakuta inakuja hasara...
 
Pesa ya betting Ili vyo na LAANA,

Ukitetereka kidogo, utavuuza vyote Ili urudi kubeti.

Niliona Kwa macho yangu, mtu aliyejenga nyumba kutokana na pesa ya betting akiiuza Kisha kumaliza pesa zote kwenye kubeti.

Mungu atusaidie.
Acha watu wabet ka wewe hubet. Mbona watu wanapokea mishahara na hakuna jambo la maana wanafanya. We mwenyewe umesema ushaona mtu amejenga kwa pesa ya kubet hii tu inaonyesha huko kuna hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…