Siku yangu ya kwanza kuingia ofisi za kubeti kwa bahati mbaya

Siku yangu ya kwanza kuingia ofisi za kubeti kwa bahati mbaya

Wewe hapo hupaswi kunena.
2019 nilitengeneza mikeka yangu mi3,mia 5 kila mmoja.
Ilikuwa siku ya ijumaa nikiwa ninatoka kazini na mshahara kibindoni.
Mingine miwili sina kumbukumbu nayo na siku iliyofuata ilichanika,ukabaki m1 wenye match 24 sawa na teams 48.

Jumapili saa 2 usiku nikaona unaendelea vizuri,zimebaki match 6.
Jumatatu yake ilikuwa nikakate ticket nielekee mkoani Tanga.

Sasa nikiwa njiani hiyo Juma 3,nikaona ngoja niangalie mkeka kwanza,kwa haraka nikaona zimeenda vyema games 23,moja sijaiona.

Nikaona isiwe tabu,ngoja nikae chini nijiridhishe.
Ebuana eee,6,464,276/- hii hapa kwa 500.
Hapo kodi ilishakatwa.
Sema mimi nilikuwaga sikai betting station.

Nilikuwa ninatenga km ni 5000/- kwa mwezi basi.
Ikiisha siongezi,sikuwa nikiitegemea kazi ya betting.
Nilinunua viwanja viwili vya kujenga ndani ya manspaa flani,vipo kimoja nilishaanza ujenzi.
Bado unabeti mpaka siku hizi?
 
Natamani Atokee Mtu Mmoja Aseme Amepata Mafanikio Kupitia Betting.
 
Tafuta kazi ya kufanya mzee hujalazimishwa kubeti hamna aliekuomba pesa humu hivyo usipangie watu vya kufanya nyie ndio mmepigwa mnageuka motivation spika
 
Kama betting Haina faida ni kwako wewe ambaye hauna bahati unagundu sio wote kwetu sisi inafaida na tumefanikiwa na tunaendelea kufanikiwa wewe nenda kalime
Kwamba umewekeza kwenye biashara ya betting!!
 
Back
Top Bottom