Sikubaliani na pendekezo la Waziri wa Fedha kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa arudishwe kwenye mshahara wake wa awali

Hapa naunga mkono sababu watu hawawajibiki wanajua tayari nina mshahara mkutwa hata wakinitoa sawa
 
Kwa nafasi za uteuzi sawa. Ile zile watu wanazotolea jacho ktk usaili hapana.
Wewe kaibe tuu utajua hujui..Niliwahi andika uzi humu kwamba kiama kwa watumishi majizi kimekuja..

Nyie mafala mlikuwa mnatumia nafsi zenu za ukuuj wa Idara kuwa miungunwatu,kuweni na saizi
 
Fanya kazi kwa bidii acha uzembe wewe fara
 
ni sawa kabisa maana yeye siyo mkurugenzi tena
 
Yani mfano kama mtu alikuwa mwalimu akateuliwa kuwa DED anakuwa anakula M 3 na malupulupu kibaoooo.Sasa ikatokea paaap akatenguliwa basi anarudi kwenye laki 7 badala ya M 3
Wafanyakazi wa serikali kiukweli hamna akili kabisa ya kufikiri , wengi mnazani fedha za kodi za wananchi ni kwa ajili ja kulipia mishahara [emoji849][emoji849]....Kosa kubwa kwa nchi yetu kwenye wafanyakazi wa serikali ni kutokuwa na IN VIEW BALI TUNATUMIA INTER VIEW TU ..IN VIEW ingetumika kufuta kazi wafanyakazi wa hovyo serikalini
 
Yani mfano kama mtu alikuwa mwalimu akateuliwa kuwa DED anakuwa anakula M 3 na malupulupu kibaoooo.Sasa ikatokea paaap akatenguliwa basi anarudi kwenye laki 7 badala ya M 3
Sasa kama ameondolewa kwenye hiyo nafasi why aendelee kulipwa mshahara wa nafasi husika wakati hatumikii tena? Its a simple logic
 
Je. Hii ni sawa na kwa wale wanaoondolewa na wananchi ama sheria? Mfano wale, waziri Mkuu, Speaker, au hata Rais wakati wa uchaguzi?
Kwa kifupi wewe akili yako ni yakipumbavu
 
Hiyo imekaa vema. Unalipwaje pesa ya wadhifa ambao huufanyii kazi? Kwani mshahara ni ufadhili?



YESU KRISTO ni BWANA na MWOKOZI
Mleta uzi hana akili kabisa ..kwanza mm nashangaa huo utaratibu wa kulipanya mishahara bila ya kuwa na kazi
 
Ndio imepita hiyo hatutaki gharama zisizo za msingi na sheria inaenda badilishwa mwezi wa 9
MIMI NASHANGAA JPM ALIACHAJE SHERIA YA KISENGEEE KAMA HIYO WAKATI ALIKUWA MAKINI SANA HUO NI UPUMBAVU MKUBWA KUMLIPA MSHAHARA PASIPO KAZI HUSIKA YA MSHAHARA ...kanuni ya mshahara inasemaje mshahara ni nini ?
 
Ni kweli ila najiuliza kwa wale wanaokuwa wamepata uteuzi toka kwenye sekta binafsi, au walikuwa wanafanya shughuli zao Kama Msendo, hao watalipwa mshahara upi?
 
Mapendekezo yote yatarekebishiwa sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…