Uamuzi wa serikali ya awamu ya sita ya kufuta utaratibu wa kuendelea kupata mshahara wa cheo cha uteuzi hata baada ya kutumbuliwa haufai kabisa kwani yalikuwa ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi kwa kuwa hilo suala lipo kisheria serikali ianze utaratibu wa kuifanyia hiyo sheria marekebisho mara moja ili kuokoa kodi zetu .Sheria ikifanyiw marekebisho itachochea uwajibikaji wa hao wateule kwani wataogopa kupoteza vyeo na vipato tofauti na sasa mtu anapoteza cheo tu ila mkwanja uko pale pale
Sent from my TECNO-L5 using
JamiiForums mobile app