Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

Huo ndio ubunifu ninao usemea mimi.
Kumbuka, sio watu wote wenye uwezo wa kuunga maneno na mithamiati kadhaa na kufanya msistari ya hip-hop ikasikilizika.
Ubunifu ni kufanya kitu kizuri kwakutumia kitu au vitu vingine ambavyo vilikuepo.

kama hio ndio maana ya ubunifu basi watanzania mnahaki ya kuburuzwa na viongozi wenu
 
Haumui snura kwa kum2pa ndan ya maji ukinzuga kwaulaj nakupa fact kwa rugha yakishkaj & asienitaj simuitaj>km ktk 100] 99 sote 2nakubali ww 1 tu ndounakata unaonyesha nijinsi gani ulivyo naroho bayaaa.
 
Anachokifanya Fid ni kitu ambacho mtu yoyote anawezakukifnya,Fid ni mtu wakujiongeza,hakuridhika na elimu aliyoipata au kuikosa darasani akabweteka,Fid anapenda xn kusoma hasa vitabu vya ki falsafa na fasihi,jiwekee hata ww huo utaratibu kwa mwaka soma vitabu kuanzia therathin na ukavielewa vizur kabisa,utakua na ubongo makini sana,lakin ukisema Fid ni geneous unakosea,ila ni mtu wa kujiongeza kimaarifa
 
genius...what is it?..how is it measured?..remember that genius exists in different forms such as music,mathematics,footbal,arts and much more...so unapopinga mtu si genius uwe na evidences na unaposema ni genius pia uwe na factors!!..no research no right to speak!!
 
All of us are genius..but the degree of being geniud differs from one person to another
 
Mleta mada genius anaweza kuwa na maajabu ya kitu kimoja. Lakini kingine hajui kabsaa.


Ma genius wote sio lazima wawe kama davinci.
 
Fid q katika mziki ni genius wewe kama alivyo yule mbunge wa mikumi
Mistar anayofikiri na kuandika hata matop musician hao kina jay zee wangezaliwa bongo wasingeweza
 
Hakuna genius mwenye majibu ya maswal yote ila huwa wanatakiwa kujua vingi. Yaan sio kujua kila kitu

Mimi ni genius na watu wengi wanajua hilo ukitaka kuhakikisha kaa na mm nkupe ambayo hukuwai kuona au kusikia ukiwa darasan
 
Mwanzo swal alijibu vizur ila baadaye akapotea akashindwa kujengea hoja jibu lake
Niliona hapo ila kushindwa pale hapamuondelei sifa ya yeye kuitw hivyo
 
"Utasikia hatukopi kwenye vitabu babu" . Unadhani kukopi mpaka ku-make sense mchezo!
Heshimu tu kitu anachofanya mtu, hali ya kuwa weww huwez kufanya walau robo.. Mtu kukopi, kupata misemo kwa washkaji ni mambo ya kawaid..
Vip huyu mtu anaweza kuunganisha mambo yote kikapatikana kitu chenye maana.. Kusoma vitabu ni kuongeza knowledge..
 
Oops my bad, man. Mihadarati kweli noma.
Ulivyotaja mihadarati nimekumbuka ngoma moja fid yumo na a.y alisema mihadarat ya ukubwan ndio inakufanya usichunge ulimi..

Ngoma moja imetulia.. Mistar inantoka siku hizi siskikzi muziki..

"Usijisahau kwa stareh kias cha pakusahau nyumbani, angalau ukijeheshim hakuna atakayekudharau mtaani"
 
Maelezo ya kwenye chandy... Kitabu cha pure mathematics A level, tulikuwa tunatumia sana..
 
Maelezo ya kwenye chandy... Kitabu cha pure mathematics A level, tulikuwa tunatumia sana..
Kama umesoma Pure A Level utakuwa umesumbuka sana na proofs mpaka kuzipatia Q.E.D.

Huyu mchizi alikuwa anaandika mami na mamia ya formulaes, watu wanashindwa kuzielewa, mpaka leo miaka kama 100 baadaye hawajaweza kuzipatia proofes nyingine.

Walizoweza kuzisoma wameona kweli, zimepata proofs.

Huyu mtu ukiniambia genius naweza kukubali.

Siku hizi neon genius linatumiwa kirahisi vibaya sana.
 
Chindo ndio nani?!
Usilete wavuta bange hapa ukasema ni wana Hip Hop
Hata Bob alikuwa anavuta, hata Fid humu mnasema anavuta halafu hatujadili wavuta bangi tunajadili vipanga wa hip hop hao wakwako sijui wa shimoni na madarajani hawaimbi hip hop na huyo nyanga'u unayempenda hata hajulikani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…