Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

Wanaoafiki FID Q ni genius wako sahihi kwa upande wao lakini kwa upande wangu sioni u-genius wake kwa sababu fid q amezezidiwa vitu vingi na ma MC/rapper wengine

Labda tungeJiuliza maswali kablya ya kuanza kumuita GENIOUS

1.Kwani Fid Q ndio rapa/MC mkali Kuliko wote hapa TZ?

Kama jibu ndio

2.Kwa uandishi gani anaomzidi rapa/MC "ONE THE INCREDIBLE" ??

Wasalam!
 
Wanaoafiki FID Q ni genius wako sahihi kwa upande wao lakini kwa upande wangu sioni u-genius wake kwa sababu fid q amezezidiwa vitu vingi na ma MC/rapper wengine

Labda tungeJiuliza maswali kablya ya kuanza kumuita GENIOUS

1.Kwani Fid Q ndio rapa/MC mkali Kuliko wote hapa TZ?

Kama jibu ndio

2.Kwa uandishi gani anaomzidi rapa/MC "ONE THE INCREDIBLE" ??

Wasalam!
"mnakosea kupick Mc wa kumfananisha na Ngosha". kwa namna hyo hamtang'amua huo "Ugenius".
 
Wanaoafiki FID Q ni genius wako sahihi kwa upande wao lakini kwa upande wangu sioni u-genius wake kwa sababu fid q amezezidiwa vitu vingi na ma MC/rapper wengine

Labda tungeJiuliza maswali kablya ya kuanza kumuita GENIOUS

1.Kwani Fid Q ndio rapa/MC mkali Kuliko wote hapa TZ?

Kama jibu ndio

2.Kwa uandishi gani anaomzidi rapa/MC "ONE THE INCREDIBLE" ??

Wasalam!
Weeeeeeee fid q ni mkali wao
 
Humu leo sijui kama patatosha!

Nimekuwa nikijaribu kudigest sifa ambazo wadau wengi wamekuwa wakimpatia msanii Fid Q, kwamba ni mtu makini, mwenye upeo wa hali ya juu.. Kiukweli nimejitahidi sana kuamini lakini leo acha tu nizitendee haki instincts zangu za muda mrefu..

Si kweli. Fid hana hiyo gene!

Mwaka jana mwanzoni, huko Marekani alitokea mtoto wa miaka 14 aliyebuni saa ambayo ilikuja kudhaniwa ni bomu hivyo kumkamata na kumtia kizuizini kwa masaa kadhaa kabla ya kubainika kuwa ni saa tu isiyo na madhara na baadae kuitwa Ikulu na Rais Obama kupongezwa kuwa ni genius.

Nilichopenda kwenye mkasa huo, ni jibu la mwalimu wake pale alipoulizwa kuhusu 'ukipanga' wa huyo mtoto na anajisikiaje kufundisha mwanafunzi genius darasani kwake.

Alisema hivi, "Namjua vizuri Ahmed, sio mwanafunzi genius kama inavyodaiwa, ila ana jitihada sana ya kusoma na kujifunza. Jitihada zake ni zaidi ya wanafunzi wote ninaowafundisha".

Sasa hii ni kama ambavyo Fid anatajwa kuwa genius kutokana na uandishi wa tungo zake. Kwamba anafikiria sana na ni kichwa kuliko wasanii wote. Niseme ukweli, binafsi sikuwahi kuona hivyo, bali nimekuwa nikimwona kama msanii anayejitahidi sana kujifunza kuliko wasanii wengine. Hapa tusichanganye.

For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact. Ni bora nikamfagilia MwanaFA angalau yeye ameacha misemo mingi kwenye lugha ya Kiswahili.

Kituko hiki hapa sasa..

Nikki wa Pili alipouliza swali kuhusu kwanini vichaa hawaongozi kuugua kipindupindu licha ya kula vyakula vichafu, Fid anajibu ni suala la Kisaikolojia. Eti, akili yako ukiiambia kwamba nikila hiki chakula kichafu nitaugua, utaugua kweli. Na ukisema sitougua, hutougua. Hivyo vichaa hawana hiyo time ya kujua kama ni kichafu ndio maana hawaugui. Nilichoka.


Huo ni mfano mmoja tu. Mwingine nitajazia kadri mada hii itakavyoendelea.

Poleni kwa kusoma mkeka!

Kwa mfano huo do amekosea? Nenda kijijini watu hawachemshi maji ya kunywa wanakunywa na hawapati shida yoyote kajaribu ww uone matokeo yake.
 
Hana u genius wowote....He is only good in manipulating words and keeping them in bars (rapping/rhyming).

Hata ww ukishakua na experience flan ya maisha hususan katika swala zima la utafutaji na kukaa na watu wa aina mbali mbali..utajikuta una kua na busara flan hivi (a certain way of thinking)....anachofanya yeye sasa ni kuweka kwenye maandishi na wakati mwingine ni kusikia kauli za watu (nakumbuka aliwahi hojiwa akasema kuna wakati aliandika verse from words of wise men akiwa nao kitaa).

Kuna watakao kubalina na mm.

Either way anafanya kazi nzuri.
Kweli kabisa.
 
Kwangu mtu genius ni yule anayetambua pia kipi anaweza fanya na kipi hawezi..

Anajibuje swali la kitaalamu ilihali yeye siye? Yaani swali la ugonjwa analijibu kifalsafa? Hapa ndipo nilipoona anadhani anajua kila kitu.

Kuandika anavyoandika hata nuh akiamua anaweza. Uandishi ule ndio unawafanya mumuone genius?

Delivery speech ndio inaakisi uwezo wa kweli wa mtu kwa kuwa unapata kumfahamu anavyotazama mambo. Kuandika ni utunzi tu!.

Narudia, Fid q is just being overrated.. But no wonder hao wanaomFan ni mburulazzz ndio maana wanawona kipanga.

Nikki simkubali pia.
Genius amejibu swali asilolielewa badala ya kuwa muwazi.
 
Humu leo sijui kama patatosha!

Nimekuwa nikijaribu kudigest sifa ambazo wadau wengi wamekuwa wakimpatia msanii Fid Q, kwamba ni mtu makini, mwenye upeo wa hali ya juu.. Kiukweli nimejitahidi sana kuamini lakini leo acha tu nizitendee haki instincts zangu za muda mrefu..

Si kweli. Fid hana hiyo gene!

Mwaka jana mwanzoni, huko Marekani alitokea mtoto wa miaka 14 aliyebuni saa ambayo ilikuja kudhaniwa ni bomu hivyo kumkamata na kumtia kizuizini kwa masaa kadhaa kabla ya kubainika kuwa ni saa tu isiyo na madhara na baadae kuitwa Ikulu na Rais Obama kupongezwa kuwa ni genius.

Nilichopenda kwenye mkasa huo, ni jibu la mwalimu wake pale alipoulizwa kuhusu 'ukipanga' wa huyo mtoto na anajisikiaje kufundisha mwanafunzi genius darasani kwake.

Alisema hivi, "Namjua vizuri Ahmed, sio mwanafunzi genius kama inavyodaiwa, ila ana jitihada sana ya kusoma na kujifunza. Jitihada zake ni zaidi ya wanafunzi wote ninaowafundisha".

Sasa hii ni kama ambavyo Fid anatajwa kuwa genius kutokana na uandishi wa tungo zake. Kwamba anafikiria sana na ni kichwa kuliko wasanii wote. Niseme ukweli, binafsi sikuwahi kuona hivyo, bali nimekuwa nikimwona kama msanii anayejitahidi sana kujifunza kuliko wasanii wengine. Hapa tusichanganye.

For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact. Ni bora nikamfagilia MwanaFA angalau yeye ameacha misemo mingi kwenye lugha ya Kiswahili.

Kituko hiki hapa sasa..

Nikki wa Pili alipouliza swali kuhusu kwanini vichaa hawaongozi kuugua kipindupindu licha ya kula vyakula vichafu, Fid anajibu ni suala la Kisaikolojia. Eti, akili yako ukiiambia kwamba nikila hiki chakula kichafu nitaugua, utaugua kweli. Na ukisema sitougua, hutougua. Hivyo vichaa hawana hiyo time ya kujua kama ni kichafu ndio maana hawaugui. Nilichoka.


Huo ni mfano mmoja tu. Mwingine nitajazia kadri mada hii itakavyoendelea.

Poleni kwa kusoma mkeka!

As The Man Thinketh.....yuko sahihi Fid Q jinsi alivyojibu swali la Niki wa pili. Mtoa mada usitumie taaluma usiyoijua kama point kuu katika kutoa udhaifu kwa kutaka kutetea mada yako. Ijue psychology kwanza n then phylosophy halafu angalia tungo za Fid Q utagundua uwezo alokuwa nao.
 
Yawezekana wanaosema Fid Q sio Genius katika uandishi wakawa na hoja ya msingi au haters tu!.

Kwanini Fid Q anaonekana ni Genius au kwanini sisi wengine tunamuona kuwa jamaa katika uandishi huko juu sana? Ngoja niweke sababu...

1- Mstari mmoja wa Fid Q unaweza kukupa maana zaidi ya 1. tofauti na MC's wengi wa Bongo.

2- Fid Q amejipambanua kuwa msanii anayewakilisha uandishi wenye mafumbo ambayo kama utakaachini kuyatafakari basi lazima ujifunze jambo.

3- Kuna watu wanasema Fid Q sio kitu kwakuwa tu wanaufahamu mdogo wa mambo mbalimbali. Ili kumuelewa Fid Q lazima uwe mfuatiliaji wa mambo mengi sana. Mfano: Hakuna ambaye hakosi labda Zizi kwa DnD, Yangu Self-esteem haitoki kama ripoti za TMZ. (Hapa kama hujui vitu lazima utoke kapa na lazima umponde Fid).

Kama mnasema si Genius labda mnamlinganisha na nani? Kwasababu kiuandishi jamaa hana mtu wa kumlinganisha nae.
 
Wimbo Ambao FidQ Alirap Fresh Na Akaeleweka Ni "Usinikubali Haraka" Aliyomshirikisha Matonya. Nyimbo Nyingine Zote Jamaa Anaimba Kama Ana Kigugumizi Maneno Hayatamkiki Na Kueleweka Ingawa Huwa Anaimba Falsafa Nyingi Alizomeza Kutoka Vitabuni
 
Wimbo Ambao FidQ Alirap Fresh Na Akaeleweka Ni "Usinikubali Haraka" Aliyomshirikisha Matonya. Nyimbo Nyingine Zote Jamaa Anaimba Kama Ana Kigugumizi Maneno Hayatamkiki Na Kueleweka Ingawa Huwa Anaimba Falsafa Nyingi Alizomeza Kutoka Vitabuni
Si bora ungesema katika nyimbo za Fid Q hiyo ndiyo nyimbo unayipenda.
 
Back
Top Bottom