DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ni kweli Wana hela wale jamaa ,bado ni diwani na pia mwenyekiti wa mtaa wa rwamishenye ijapokuwa wananifurahisha Sana khamisi akiwa Kagera eti sued ndiye dereva wake na bodyguard wake .
But wale ni watu Sana bro ,ninayo mengi kuhusu ile familia Kaka
May God keep blessing them .
Nitakuwepo hapo wiki mbili au tatu mbele nakuja kumuona mchepuko wangu ,hapo rwamishenye msikitiniSata tena sana wametandaza lami mpaka vichochoroni
Ulikuaga ni heshima Sana kusoma pale bt then kijana akisoma pale unaheshimika Sana kwenye jamii.Yah IHUNGO
Moja ya shule bora sana .
Ngumu sana kuwaelewa.Ila watanzania!!!
Ulikuaga ni heshima Sana kusoma pale bt then kijana akisoma pale unaheshimika Sana kwenye jamii.
Umenikumbusha mambo mengi Sanaa.
Mimi nitatoa elfu 50, wewe utatoa ngapi ili tumsaidie ?Hebu msaidie tu na Mungu atakuzidisha
Nilitoka nikajikuta niko peke yangu. Ulitaka nielezee matatizo yako ?Wewe ulitoka kwanini usiwe mfano
Familia ya kizungu Sana ile.
Sitaki kuongea mengi Ila watu waliokuwa karibu na huyo mzee kawavusha Sana .
Mara ya mwisho nilienda kumsalimia kwake 2019 kule kwake Busimbe. Very humble .
[/QUOTEDah ni kweli kabisa hata alipotolewa katika wizara iliniuma Sana .Familia ya kizungu Sana ile.
Sitaki kuongea mengi Ila watu waliokuwa karibu na huyo mzee kawavusha Sana .
Mara ya mwisho nilienda kumsalimia kwake 2019 kule kwake Busimbe. Very humble .
But ni mtu na nusu ,yapo mengi yangenipoteza nikiwa Kagera ila khamisi alisimama na Mimi na mwisho nikavuka .
Hali iliyonikuta namuita baba badala ya bro sababu aliplay role kubwa ya mzazi .
Anyway nitakuwepo huko majuma kadhaa mbele lazima nifike nyumbani pale rwamishenye karibu na chemba walau nitoe salamu zangu kwa sued na mama yao ijapokuwa khamisi tunawasiliana bado
Matatizo yangu nayamudu mkuuNilitoka nikajikuta niko peke yangu. Ulitaka nielezee matatizo yako ?
Tuishi humoMatatizo yangu nayamudu mkuu
Ni k
Zimefika Kaka ,nikiwa kule nitakujuza hapa hapaHakika mkuu ukienda umsalimie na Muganyizi pale hamgembe Ana club yake pale inaitwa Sky
Nenda kakate rufaa, usikubali kuporwa haki yako kienyeji.Habari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Mungu wangu eeh, nitatoa elfu mbili mwanangu.Mimi nitatoa elfu 50, wewe utatoa ngapi ili tumsaidie ?
Sawa bwasheeMungu wangu eeh, nitatoa elfu mbili mwanangu.
utanitumia namba yako PM ili nitume kwakoSawa bwashee
Tuma moja kwa moja kwa mhusika ili mambo yasiwe mengi.utanitumia namba yako PM ili nitume kwako
Ndogo kwako mzee, maisha tumetofautiana, we buku sio hela, kuna mtu ndio maisha yake siku nzima.Hela ndogo hivyo inakutoa jasho, kazi ya kuwaondoa watz ujinga utaiweza kweli ?