jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hata wasipo zidi ila huwezi linganisha maendeleo ya jamii ya wachaga na wamakia ni mbingu na ardhi.Halafu swala la ulevi unataka kuniambia wamakua wanawazidi wachaga wanaolewa mpaka kwenye msiba? Au wale mahanithi wa rombo?
Mutajifariji mnoHizo Biashara wanaofaidi ni wafanya-Biashara kutoka Nje ya mkoa.
Huo ndo uhalisia .Mutajifariji mno
Kwamba wachaga wana maendeleo yapi ambayo kusini hakuna wenye nayo?Hata wasipo zidi ila huwezi linganisha maendeleo ya jamii ya wachaga na wamakia ni mbingu na ardhi.
Umeendaje ?Huo ndo uhalisia .
Fatilia msimu huu wa korosho ulivyoenda wote.
Point ilikuwa ulevi wa wamakua nimekujibu kuwa wachaga ni walevi kuliko wamakua sasa umehamia kwenye maendeleo haya nijibu unayapimaje maendeleo kwasababu vijijini iwe kusini au kaskazini munafanana tu?Hata wasipo zidi ila huwezi linganisha maendeleo ya jamii ya wachaga na wamakia ni mbingu na ardhi.
Likija suala la ngono kusini hakunaga aibu wala simile,90% ya watoto wahalelewi na wazazi wote wawili,kuachana kusini ni suala dogo sana,kimsingi misingi ya kifamilia kwa jamii za watu wa kusini haipo.Kwamba wanafanya hadharani kama kuku?
Aisee wewe ni kiazi kweli mahindi yanayolimwa hapo mkoa wa ruvuma hata huko kiteto haifiki hata nusu yakeMkoloni mjerumani aliwalimisha watu kwa viboko baada ya kuondoka nyerere akaleta mkazo kila kaya iwe na heka moja angalau ya mazao ya chakula ilikuwa lazima baada tawala zingine watu wa kusini wakarudia uvivu wao na kushinda kijiweni..unga wa sembe mahindi mpaka yatoke Kiteto.
Hela ya korosho inapatikana bila shaka,shida ni kwamba jamii za watu wa kusini wanaamini mkorosho upo kila siku na utazaa hivyo hata matumizi ya pesa inayopatikana niyahovyo na pesa hupotea kwenye masuala ya hovyo ndio mana umasikini unaendelea kutamalaki.Ila mwanaume kumuoa mwenzie hilo kwako ndio ujanja? Mtu mwenye shamba la mikorosho ambaye kavuna korosho tani 4 tu kashika milion 12 hivi nitajie huko kwenu ni zao lipi lenye pesa kiasi hiki? Mtu anayelima mbaazi heka moja hupata kuanzia kilo 400 akiuza kwa 2000 ana laki 8.... haya nitajie huko kwenu munalima mazao yapi kupata pesa? Huko manyara nishafika maeneo yote zaidi ya wairaq kuwa na gono lisilopona hakuna wanachotuzidi sisi
HAPA MKUU UNAONYESHA TABIA YA KIJINGA SANA.Unauliza shughuli za kiuchumi? Korosho, mbaazi na ufuta yataendelea kuwa mazao ya wavivu na siyo yenye kumuinua mtu kiuchumi. Ni sawa na mkonge Tanga na Morogoro
Unapanda miti ya mikorosho, unavuna km maembe halafu unasema unajishugulisha na kilimo?
Niwe na chuki na wavaa kobazi ambao kwa ulimwengu huu hawana cha maana zaidi ya kanzu, maji ya zamzam, tende, mkojo wa ngamia, kisima cha kujitawazia na msikiti😀😀😀😀
Misingi ya kifamilia ipo kwasababu huku wengi ni waislamu....mtoto wa nje ya ndoa ni haramu na hata kuzaa bila ndoa ni aibu sana huku hii hali ipo tofauti na wachaga na kabila lako ambalo munazaa watoto halafu ndio munakuja kufunga ndoaLikija suala la ngono kusini hakunaga aibu wala simile,90% ya watoto wahalelewi na wazazi wote wawili,kuachana kusini ni suala dogo sana,kimsingi misingi ya kifamilia kwa jamii za watu wa kusini haipo.
Mkuu tembea uone unayaongea haya kwa sababu hujawahi ziidi mbagala ukitoka kusini unaishia mbagala kuuza korosho.Point ilikuwa ulevi wa wamakua nimekujibu kuwa wachaga ni walevi kuliko wamakua sasa umehamia kwenye maendeleo haya nijibu unayapimaje maendeleo kwasababu vijijini iwe kusini au kaskazini munafanana tu?
Ni kweli gunia hazitoshiKwhy hizo korosho zilizojaa hapo bandarin mpaka magunia hayatoshi kalima shemeji Yako huyo unaekaa kwake?
Wataondolewa kwenye game na nani?Ukienda kama masasi ni mji wa kibiashara kwa sababu ya uwepo wa wakinga na wamakonde kidogo ambao sio muda mrefu nao wataondolewa kwenye game.
Nimetembea sehemu nyingi mno nchi hii na nchi za jirani zoteMkuu tembea uone unayaongea haya kwa sababu hujawahi ziidi mbagala ukitoka kusini unaishia mbagala kuuza korosho.
Nimeisho masasi naijua vzr sana,leo mtoto wa nje ya ndoa ni haramu 😅😅,huko wengi waislamu jina kuzaa hovyo na kura nguruwe kama kawaida.Misingi ya kifamilia ipo kwasababu huku wengi ni waislamu....mtoto wa nje ya ndoa ni haramu na hata kuzaa bila ndoa ni aibu sana huku hii hali ipo tofauti na wachaga na kabila lako ambalo munazaa watoto halafu ndio munakuja kufunga ndoa
Hujafika vijiji vya Moshi,fika huko kwanza.Nimetembea sehemu nyingi mno nchi hii na nchi za jirani zote
Ficha ujinga wako,Sasa hela mnapekeka wapi mbona kumepoaa,hakuna hata uwekezaji wa maana mnaowekeza huko iwe vyuo vikuu au hosoitali za maana
Nimeshafika sanaHujafika vijiji vya Moshi,fika huko kwanza.
Wapumbavu ni wengi mno JF ya siku hiziUsichojua ni kuwa mkoloni hakupotezea mikoa ya kusini. Alijenga hadi reli na alianzisha shule nyingi tu za maana. Aliyepotezea kusini ni Nyerere na ccm yake