Mbona toka wakati wa Magufuli haya mambo ndiyo yalitiliwa mkazo?Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.
Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.
kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.
Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?
Humjui? Ebu muulize babaako, labda anamjua.JPM yupi tena huyo ambaye atabaki kuwa juu jamani?
Mtu ameshafukiwa anabaki vipi tena kuwa juu?Humjui? Ebu muulize babaako, labda anamjua.
WanaogopanaMaigizo
Unampenda sana JPM?tangia atutoke atutoke so what mother fuc*****Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.
Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.
kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.
Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?
He who is stupid is very stupidUnampenda sana JPM?tangia atutoke atutoke so what mother fuc*****
Ndio maana nikakwambia muulize babaako mambo haya. Wewe huyawezi. Yesu Kristu aliyefariki miaka zaidi ya elfu mbili iliyopita hayupo juu? Mtume Muhammad (SAW) aliyefariki zaidi ya miaka 1400AD hayupo juu?Mtu ameshafukiwa anabaki vipi tena kuwa juu?
Sounds like your stupidUnampenda sana JPM?tangia atutoke atutoke so what mother fuc*****
Huyu pimbi hawezi kukuelewa.Ndio maana nikakwambia muulize babaako mambo haya. Wewe huyawezi. Yesu Kristu aliyefariki miaka zaidi ya elfu mbili iliyopita hayupo juu? Mtume Muhammad (SAW) aliyefariki zaidi ya miaka 1400AD hayupo juu?
Mbona hawajamlinda Sabaya?Uhai wa chama chao cha ccm unategemea utamaduni waliojiwekea wa KULINDANA!!! Hata kama mahala pana uvundo wao watasema kuna MARASHI!!! Hiyo ndio ccm yenye wenyewe!
Haijalishi ila hakika Polepole ni mwanaccm haswaa na kiongozi mwandamizi haswaa kaongea kidogo ila daah Big up Polepole, look at his composure, elite words, depth ya Sauti, amazing amazing well done comrade.Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.
Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.
kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.
Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?
Ndio maana nimshauri amuulize babaake labda anaweza kumuelewa.Huyu pimbi hawezi kukuelewa.
Hizi taratibu zote, mpaka zile sheria gandamizi za awamu ya 5, Polepole alikuwa kinara, na sasa anafurahia matunda ya kazi yake.Wamemtafutia Polepole sababu ya kumfunga mdomo kwa kuwatumia hao kina Gwajima na Silaa kama chambo.
Hapo kitakachofuata Polepole ataambiwa adhabu yake akae kimya miezi sita yuko chini ya uangalizi, awe makini huko kikaoni kama Gwajima alivyofanya na "mic"
Huu ujinga ndio unafurahiwa na wenye mawazo mgando wenye "chama chao".
Hawajui kufungana midomo kunatengeneza taifa la majuha, na vile elimu yetu iko chini, ndio tunaandaa kizazi cha malofa na adui ujinga ataendelea kututesa miaka yote mpaka mwisho wa dunia, CCM ni wajinga sana.
Nachomshauri Polepole kwanza awaambie hao CCM wenzake hajavunja sheria yoyote ya nchi kutoa mawazo yake, pili, afuate taratibu alizoambiwa na TCRA ili arudi hewani, na nyie TCRA mfanye kazi yenu kiuweledi, msijigeuze wanasiasa.
Kwahiyo ikulu ni sehemu ya kufanyia vikao vya ccm?
Kwani umeambiwa kuwa wanaitwa kwa sababu ya kutoa maneno dhidi ya wanachama wenzao?Mkuu ningewaona wa maana CCM kama wangewaita akina Diallo,Nape, Bulembo ambao nao walitoa maneno yasiyo na staha hii ni double standard ya wnye CCM kutaka kukomoana kwa wasiojikomba na wasema ukweli
Mbona hawajamlinda Sabaya?
Kwani CHADEMA haijawahi kuwaita wanachama wake kujieleza na hatimaye kuwafukuza???Utabiri unazidi kutimia
"Wakitumaliza sisi wataanza wenyewe kwa wenyewe"
Sahihisho; polepole na bashite walikuwa maadui wakubwa hawajawahi kuwa wamoja, hii ni hadi kesho.Hizi taratibu zote, mpaka zile sheria gandamizi za awamu ya 5, Polepole alikuwa kinara, na sasa anafurahia matunda ya kazi yake.
CCM nawapongeza kwa kuutambu mchango wa Polepole, na hivyo kuwa miongoni mwa wafaidika wa sheria zile alizoshiriki kuziweka.
Tinaambiwa Polepole ndiye alikuwa akiendaa orodha ya watu wa kuteka na kupotezwa, kisha anamkabidhi Bashite. Na yeye angatekwa lingekuwa jambo jema ili ayafaidi matunda ya kazi yake.