Wammalizie mbali huko maana hana faidaKama ndivyo anahitaji protection huyu vinginevyo watammaliza tu...
Na ulinzi anaopaswa kuwa nao si huu tunaoujua wa kibinadamu bali ni wa aliye juu yaani BWANA MUNGU - Yehova...
Otherwise, labda anaweza kuwashinda tu wapinzani wake iwapo miungu yake ina nguvu kuizidi miungu ya anaopambana nao, yaani ya Rais Samia Suluhu na wenzake CCM na serikalini...
Hapo anayetafutwa ni polepole wengine wamechomekewa tu.
Ubobezi wa ujausi mnampa ninyi washamba. Nipe mahali ambapo yeye, au taarifa ya serikali au CCM imayomtambu kama jasusi mbobezi.Alitolewa Jasusi Mbobevu sembuse huyu kiroboto?
Bulembo ali pre empty tu tukio lenyewe na majibu au hukumu anayo mkononi. Hawa wote ni intruders kwenye chama hawana madhara yyeteLengo ni kuwatisha na kuwanyamazisha.
Wangekuwa fair, hata Bulembo angeitwa na kuhojiwa kwa kumshambulia mwanachama mwenzake.
Unajua maana ya ujasusi?Ubobezi wa ujausi mnampa ninyi washamba. Nipe mahali ambapo yeye, au taarifa ya serikali au CCM imayomtambu kama jasusi mbobezi.
Wewe ndio hujui maana ya ujasusi bobezi. Unaongea tu. Jasusi bobezi analalama hovyo hovyo? Jasusi bobezi linagombea Urais likijua haliwezi kupata hata kura mbili? Jasusi bobezi lilishindwa kuzuia "uibaji wa kura" (kama ulikiwepo) katika uchaguzi ambao na yeye ni mgombea? Eti Jasusi Bobezi, my foot!!!Unajua maana ya ujasusi?
Serikali tena!!CCM hatuna papara, mtu anajiweka mwenyewe kamba shingoni.
Serikali inapiga teke ndoo aliyosimamia mtu, na anakuwa kajinyonga.
Unasahau kuwa serikali ni ya CCM?
Ccm ilianzishwa mwaka gani?Kuitana CC na kunyooshana kupo miaka na miaka oabla hajazaliwa Lissu
Ccm ilianzishwa mwaka gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hapo mwishoHio inahusiana nini? Kwani Membe, sofia simba na wengine si walifukuzwa na CC na wamerudi ishu ni kuumana tu.
Kwanza CCM ni ajira tu na sio utumishi
Hiyo iliyoanzishwa 1954 siyo ccm.1954 ikabadilishwa jina 1977 baada ya kujumuisha ASP kama ilivyo Tanganyika ilivyojumuisha Znz tukaita Tanzania
Kwani raisi ni Mungu? kwani kupingwa au kukosolewa raisi ni dhambi? uhuru wa kujieleza maana yake nini?Kwani umeambiwa kuwa wanaitwa kwa sababu ya kutoa maneno dhidi ya wanachama wenzao?
Wameitwa kwa sababu ya kwenda kinyume na msimamo wa Rais.
Nae ataulizwa si Ni wewe uliyekua mnunuzi mkuu wa hao wabunge wa upinzani?Polepole akihoji kwanini kuna wabunge wasio na baraka na vyama vyao ikitokea yupo nje ya uanachama ataitwa wapi kuhojiwa
Tukumbushe kidogo, kwani alifanya nini? Wacha kukurupuka.Kosa la Membe lilikua nini?