Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Acha kuidhalilisha Simba wewe.Simba ni CCM Yanga kama CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuidhalilisha Simba wewe.Simba ni CCM Yanga kama CHADEMA
Mbona hamtupii picha au leo hamjaenda na Simu, tupeni update au Tatizo Bando?
una hakika?Mbona hamtupii picha au leo hamjaenda na Simu, tupeni update au Tatizo Bando?
Ndo maana naomba use u atupia update kila baada ya walau nusu saa. Sasa masaa2 kimya, hivi Kama taifa hakutajaa Uhuru so ndo wakatuwa watu 50?una hakika?
Acha kuwapangia watu Maisha kwani wanakula kwako.mashabiki wa simba mnakwama wapi, hamna kazi ya kufanya mnaenda uwanjani asubuhi asubuhi!
Ndo maana naomba use u atupia update kila baada ya walau nusu saa. Sasa masaa2 kimya, hivi Kama taifa hakutajaa Uhuru so ndo wakatuwa watu 50?
Kwenye huu umati wa Muhammad Swalallahu Aleiwasalam lazima Ghazwat atakuwepo.
Huyu jamaa muda wote, anawaza siasa.Acha kuidhalilisha Simba wewe.
Ivi yuko wapi, mbn kapotea sana. Wakati huu mtamuKwenye huu umati wa Muhammad Swalallahu Aleiwasalam lazima Ghazwat atakuwepo.
acha kuifananisha simba na vitu vya ovyo ovyo weweSimba ni CCM Yanga kama CHADEMA
Kumbe ilishawahi noga eeeh......teh tehSimba day ya Leo haitanoga Kama ya miaka iliyopotea hata baada ya Mwamedi kuzurura media zote za Tanzania.
Mbona inanogaga mzee baba au wewe huoni nankusikia husikii?Kumbe ilishawahi noga eeeh......teh teh