Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

Anacheza na Namungo kwa sababu kisheria ngao ya hisani inachezwa kati ya mshindi wa ligi kuu na azam conf. Cup ,sasa simba kashinda kombe zote inabidi acheze na aliyecheza naye fainal ya Azam conf.cup.

Najua inawauma tuliwaambia chezeni mpira siyo kucheza utopolo ,nyani fc a.k.a malalamiko FC
Acha taarabu kijana,mbona unaongea Kama asha baraka au zuchu Nini wewe
 
Kuna wanayanga washazimia hapa uwanjani kwa husda.
images%20(8).jpg
 
Simba Tuna Jambo Letu
😁😂😀😄😄😃😃😃
Kila La Heri!!!
 
Back
Top Bottom