mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,267
- 4,634
Acha taarabu kijana,mbona unaongea Kama asha baraka au zuchu Nini weweAnacheza na Namungo kwa sababu kisheria ngao ya hisani inachezwa kati ya mshindi wa ligi kuu na azam conf. Cup ,sasa simba kashinda kombe zote inabidi acheze na aliyecheza naye fainal ya Azam conf.cup.
Najua inawauma tuliwaambia chezeni mpira siyo kucheza utopolo ,nyani fc a.k.a malalamiko FC