Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

Bora wewe unakubali udhaifu, ukweli Ni kuwa Uhuru kilikuwa na mashabiki wasiopungua 15imebidi TV zizimwe na wamerudishiwa 2000 zao. inasemekana TV hazikuwa na sauti na pia hazikutoa kwaliti ya kutoaha
Na quality haiwezi kuwa nzuri coz walitumia projector na sehem yenyewe ni ya wazi.
 
Akitangaza mechi ya Simba day muda huu amesikika Baraka Mpenja akitamka kuwa "Anapita nao pale kama Tundu Lissu hivi" pale ambapo mchezaji wa Simba alipopita na kuchukua mpira kwa wapinzani Vital O kwenye lango lao!

Nakuombea wepesi Baraka Mpenja maana duh! Any way tumekuelewa!
 
Halafu wakisema mechi saa kumi iwe saa kumi wasilete mambo ya kienyeji ,watu wameingia uwanjani kuanzia saa nne hadi sasa bado mechi
 
Atakuwa kakosea na akaomba kumradhi au ndiyo imetoka jumla..?
 
Atakuwa kakosea na akaomba kumradhi au ndiyo imetoka jumla..?
Hajaomba wala nini, kaishia kukausha ila kajishtukia maana baada ya kutamka hivyo amekosa kabisa control ya utangazaji
 
amekatwa na NEC baada ya kuanza kampeni kabla ya wakati.
 
Back
Top Bottom