Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Huyu jamaa ni utulivu tu anaohitaji, ila ana kipaji kikubwa sanaMorison ni hatari ndugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ni utulivu tu anaohitaji, ila ana kipaji kikubwa sanaMorison ni hatari ndugu zangu
Muwe mnaweka updates kinachoendelea uwanjani especially now that mechi imeanza.View attachment 1544625
View attachment 1544671
View attachment 1544820
Tupo Tayari
Hatimaye ile sikukuu kubwa la kisoka Africa inafika kileleni leo katika viwanja vikubwa viwili Benjamin Mkapa na Uwanja wa Uhuru.
Tutakuwa hapa kuwapa updates ya matukio na mechi kali kati ya Simba SC Vs Vital O
Onyo
Nitakuwa wa mwisho kutomuunga mkono Mo Dewji. Puuza Utopolo na wavimba macho wote
Ni siku ya kibiashara zaidi, sio ya kifahari. Gharama za kuileta timu ya Ulaya sio ya kitoto, na haiwezi kurudishwa kwa kiingilio cetu cha buku tano au sabaKuanzia mwakani Simba ifanye kuwa inaleta moja ya timu kubwa africa,ulaya hata marekani huko.
Hivi vitimu havitoi mileage ya kutosha. Chukua hata moja ya timu pale epl,spain,italy Hizi habari za next level zikae sawa zaidi.
Morrison tayari kesha weka 1 hukunaskia makelele kwenye mabanda umiza what happened?
Nani kwaliza hao vital'OGoooooooool
Simba 1 ni yuleyule mkosa nidhamuNgapi uko?@Okwibobansunzu
Hapo chacha Utopolo ndo watazidi kukazia kesi yao.Morrison tayari kesha weka 1 huku
HahahahahahahahaaaaGoooooooool Morisoooooooon
Sasa format hii ya leo imekaaje wadau?Bocoooooo 2-0
Wakili wa kujitegemea.Simba 1 ni yuleyule mkosa nidhamu
Hahaha hahaha watalia msimu huuHapo chacha Utopolo ndo watazidi kukazia kesi yao.