Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

View attachment 1544625
View attachment 1544671

View attachment 1544820
Tupo Tayari

Hatimaye ile sikukuu kubwa la kisoka Africa inafika kileleni leo katika viwanja vikubwa viwili Benjamin Mkapa na Uwanja wa Uhuru.

Tutakuwa hapa kuwapa updates ya matukio na mechi kali kati ya Simba SC Vs Vital O

Onyo
Nitakuwa wa mwisho kutomuunga mkono Mo Dewji. Puuza Utopolo na wavimba macho wote
Muwe mnaweka updates kinachoendelea uwanjani especially now that mechi imeanza.

Sio mmnakimbilia tu kuanzisha nyuzi hapa.

Baada ya kusema hayo updates wakuu
 
Watu polepole na wataelewa tu. Misemo mipya, nahau mpya, vishazi vipya, methali mpya n.k. Vyote vinambeba TAL kwa mahesabu ya kiithibati
 
Kuanzia mwakani Simba ifanye kuwa inaleta moja ya timu kubwa africa,ulaya hata marekani huko.
Hivi vitimu havitoi mileage ya kutosha. Chukua hata moja ya timu pale epl,spain,italy Hizi habari za next level zikae sawa zaidi.
Ni siku ya kibiashara zaidi, sio ya kifahari. Gharama za kuileta timu ya Ulaya sio ya kitoto, na haiwezi kurudishwa kwa kiingilio cetu cha buku tano au saba
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah kinogesho kinaenda kumletea matatizo
 
Back
Top Bottom