Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh.Uwanja wa taifa hata watu elfu 40 hawajafika shida Ni kiingilio kikubwa au Nini? Au watu wamechoka na sound za Mwamedi? Tukumbuke tupo uchumi wa kati
Una kipaji kikubwa cha uongoUwanja wa taifa hata watu elfu 40 hawajafika shida Ni kiingilio kikubwa au Nini? Au watu wamechoka na sound za Mwamedi? Tukumbuke tupo uchumi wa kati
Hata mamcho hayaoni? Uwanja Ni mweupe watu wako kwa makafirio ya haraka Ni 25,000 Hadi 32,000 mwanzo nilijua Tatizo Ni jua kuwa Kali, lakini pamoja na kivuli bado mapengo Ni mazito, Bora kiingilio kishuke Hadi bukubukuUna kipaji kikubwa cha uongo
Bora wewe unakubali udhaifu, ukweli Ni kuwa Uhuru kilikuwa na mashabiki wasiopungua 15imebidi TV zizimwe na wamerudishiwa 2000 zao. inasemekana TV hazikuwa na sauti na pia hazikutoa kwaliti ya kutoahaKuanzia mwakani Simba ifanye kuwa inaleta moja ya timu kubwa africa,ulaya hata marekani huko.
Hivi vitimu havitoi mileage ya kutosha.
Chukua hata moja ya timu pale epl,spain,italy
Hizi habari za next level zikae sawa zaidi.
Kashapeleka vyeti vya chuo?Hii ni Tanzania na Uingereza tu! Mashabiki wa Simba kweli ni another level! Haji Manara siku si nyingi atapata uteuzi na jiwe
Kwamba simba nayo inaiba ushindi?Simba ni CCM Yanga kama CHADEMA