Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii timu iko vizuri zaidi ya Yanga,shida imekutana na wale waliochapa 4Vitalo team mbovu sana
Usijali sana, ni mechi ya utambulisho tu wa wachezaji, sio ya kuipima timuVitalo team mbovu sana
Mkuu hii Simba hiii daah tena hapo bado hawajawa na muunganiko mzuri na wachezaji wapya.Sasa format hii ya leo imekaaje wadau?
Yaani jiwe moja ndege wawili
Yanga ainauwezo wakufikia kiwango cha Vital'O.Vital'O ni kiwango cha As vita au Mazembe za Congo.Vitalo team mbovu sana
sasa ni mapumziko,kumbuka na sisi ni watazamaji. tuache kutazama mpira kutuletee wewe updates,unatulipa?Mmeanza ku update baada magoli kuingia mmmmammmamaaeee
Nalog off.
Hata tone ya watu ilibadilika kabisaMo amejaribu kufanya siasa taifa nilikuwa kwenye baa watu wameguna baada ya Mo kusema Magufuli oye.
Ndio ujue upepo wa Lissu mtaani sio wa kawaida.
Pole Sana kijana najua inaumiza Sana kupika majungu yasio ivaKila la heri Vital'O
Tukiwafunga nne moja nitalazimika kukubaliana na usemi wakoVitalo team mbovu sana
Huyu Bwarya ni hatari na nusu
Kati ya Morison na Bwalya ni yupi naweza kumuweka dhamana nikachkulia mkopo bank?Huyu Bwarya ni hatari na nusu
Huko umeenda mbali mchukue ndemlaKati ya Morison na Bwalya ni yupi naweza kumuweka dhamana nikachkulia mkopo bank?
Mtazamo wangu upo kibiashara zaidi pia sio kifahari.Ni siku ya kibiashara zaidi, sio ya kifahari. Gharama za kuileta timu ya Ulaya sio ya kitoto, na haiwezi kurudishwa kwa kiingilio cetu cha buku tano au saba