Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

[emoji881][emoji881][emoji881]
IMG_1062.JPG
 
Hivi hao Namungo hilo kombe la ngao ya Hisani si watuachie tu hivi hawaoni kipigo anachopata bingwa wa Burundi hapa?

Inaonekana watu wa Simba mna tatizo la kupashwa habari za kimataifa. Vital' O ya Burundi sio bingwa na hata kwenye top 5 ya msimamo wa Ligi iliyoisha haipo yaani kibongo bongo = na Alliance ya Mwanza.
 
Kwani Depotivo de la Utopolo walio pigwa 4G walinunuliwa sh ngapi?
Tumekutana mara 3
Tumeshinda moja
Mkashinda moja
Tukasuluhu moja

Mechi mliyotufunga tayari mlikua mmemlaghai Tshishimbi na Morrison wakaiua team katikati kukawa kumepwaaya. Kwa uwekezaji (kama mnavyodai tho sijaona kilichowekezwa) hamkustahili kufungwa wala kudraw na Yanga ile.
 
Tumekutana mara 3
Tumeshinda moja
Mkashinda moja
Tukasuluhu moja

Mechi mliyotufunga tayari mlikua mmemlaghai Tshishimbi na Morrison wakaiua team katikati kukawa kumepwaaya. Kwa uwekezaji (kama mnavyodai tho sijaona kilichowekezwa) hamkustahili kufungwa wala kudraw na Yanga ile.
Kama wewe uko vizuri uliruhusuje kupigwa nne? Yani wewe umepigwa nne alafu unawaita wenzako vibonde wakati na wewe ndio wale wale?

Kama hao ni vibonde sawa nyie si mmezindua wiki ya mwananchi haya tualikeni tucheze nanyi kwenye tamasha lenu tuone nani alikuwa kibonde kati yenu na Vital'O
 
Tumekutana mara 3
Tumeshinda moja
Mkashinda moja
Tukasuluhu moja

Mechi mliyotufunga tayari mlikua mmemlaghai Tshishimbi na Morrison wakaiua team katikati kukawa kumepwaaya. Kwa uwekezaji (kama mnavyodai tho sijaona kilichowekezwa) hamkustahili kufungwa wala kudraw na Yanga ile.
Hakuna mtu aliwalaghai wachezaji wenu malaghai ni nyinyi mlio wapachikia mikataba fake alafu mlivyo wajinga yani mtu mmebambikia mkataba alafu mnaenda kumpanga mechi kubwa kama ile mnategemea nini hapo?
 
Kama wewe uko vizuri uliruhusuje kupigwa nne? Yani wewe umepigwa nne alafu unawaita wenzako vibonde wakati na wewe ndio wale wale?

Kama hao ni vibonde sawa nyie si mmezindua wiki ya mwananchi haya tualikeni tucheze nanyi kwenye tamasha lenu kama tuone nani alikuwa kibonde kati na Vital'O

Wewe mbona hukutualika?
 
Wewe mbona hukutualika?
Sasa nialike Utopolo wa kazi gani mimi si aheli ualike Namungo kwa hapa bongo au Azam angalau wanaweza kutoa changamoto, ndio mana tulikuwa tunataka timu Kama Al Ahaly huko mana team za ukanda huu wote kwa Simba ni vibonde tu pamoja na hao wazee wa 4G.
 
Usizunguke kutafuta visingizio ila mlipigwa 4,kurubiniwa au kutokurubuniwa ni tatizo la timu lenu halituhusu
Tumekutana mara 3
Tumeshinda moja
Mkashinda moja
Tukasuluhu moja

Mechi mliyotufunga tayari mlikua mmemlaghai Tshishimbi na Morrison wakaiua team katikati kukawa kumepwaaya. Kwa uwekezaji (kama mnavyodai tho sijaona kilichowekezwa) hamkustahili kufungwa wala kudraw na Yanga ile.
 
Back
Top Bottom