OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #261
Salamu ziwafikie Yanga treni imekata breki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la heri Vital'O
Kwani Depotivo de la Utopolo walio pigwa 4G walinunuliwa sh ngapi?Hii timu mmeinunua...haiwezekani inacheza na kupoteza mipira kizembe hivi
Covd19 imesababisha ugumu wa kupata timu. Hata hivyo kule Egypt ligi ndio kwanza imechanganya baada ya kusimama, si rahisi kupata timu kwa sasa hiviHii team ya Burundi mbona kama nimeanza kuwa na wasiwasi nayo?
wangetuletea Al ahly babeqie
Sasa nililie nini! papuchi?Jamaa analilia apdates.hiii,,,maweeee.
😳 Soma uzi mwanzoni umeandikwaje acha malumbano ya kitoto.Anazingua tu
Al ahly waligoma kwa sababu ya kuofia Covid-19.ila Vital'O na Al ahly awajapishana saana kiuwezo.Hii team ya Burundi mbona kama nimeanza kuwa na wasiwasi nayo?
wangetuletea Al ahly babeqie
😳 Soma uzi mwanzoni umeandikwaje acha malumbano ya kitoto.
Teh teh teh 🎶 teh teh 🤣 🤣 hawa warundi waliokotwa wapi?..😃😃😃 haaa haaa.Mugaluuuuuu Simba 5-0 Utopolo de la Vital'O
Vital'o kama yanga tuVitalo wamemaliza ligi nafasi ya sita tena ligi ya Burundi, mbumbumbu fc msijidanganye msipo angalia mtatolewa tena Raundi ya kwanza katika mashindano ya Caf.
kanunuliwe na wewe kama ni rahaHii timu mmeinunua...haiwezekani inacheza na kupoteza mipira kizembe hivi
We Bwenyenye hata hunielewi. Nakupotezea tu.Wewe unazingua tu,ulisema upo insta kwa ajili ya updates na kuponda JF wakati ni sehemu kila mtu anaweka updates, grow up basi acha utoto
Vitalo wamemaliza ligi nafasi ya sita tena ligi ya Burundi, mbumbumbu fc msijidanganye msipo angalia mtatolewa tena Raundi ya kwanza katika mashindano ya Caf.
Au labda jamaa anajua apdates ni pesa za nchi flani ya ulaya[emoji23].maana keshalilia hizo apdates mpaka huruma.Wewe unazingua tu,ulisema upo insta kwa ajili ya updates na kuponda JF wakati ni sehemu kila mtu anaweka updates, grow up basi acha utoto
We Bwenyenye hata hunielewi. Nakupotezea tu.
So nikiwa insta. Nisiingie JF??!!
Wakati na naijua JF wewe ulikua unafungwa pampus. So potezea kwanza mpira huujui weee. Fuata upepo tu