Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

Yaa burudani ipo, Kuna huyu Bwalya Ni fire, Kuna mugalu sijamwelewa, yule beki wa kesho Ni nyoka asiye na Simu. Lakini Simba hii bado haina tofauti na ya msimu mpya. Tunasubiri wakae pamoja ili timu iwe fire zaidi, lengo Ni kupunguza zile hamsa tukikutana na Wydad.
We yanga mwenzangu?
 
Ajib anaweka bao la nne hapa hahaha hahaha Simba another level
 
Back
Top Bottom