Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Who cares?Mbona hata uwanja wa Mkapa haujajaa mkuu??? Na ningeshangaaa
Uwanja usipojazwa kwa idadi ya watu tunaujaza kwa wingi wa magoli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who cares?Mbona hata uwanja wa Mkapa haujajaa mkuu??? Na ningeshangaaa
Kwa nafasi gani?? Maana hata sifa ya utendaji wa mtaa hanaHii ni Tanzania na Uingereza tu! Mashabiki wa Simba kweli ni another level! Haji Manara siku si nyingi atapata uteuzi na jiwe
Dah haya bhana. Mi ngoja nisubiri updates za watu wengine na mimi ndio nilete updates hapa.Sasa mkuu JF wanaoleta updates ni kama wewe member ,kwahiyo we pia ungesaidia kuleta updates ndo mambo yanavyoenda
Kwahiyo hata rangi umezipindua!?Simba ni CCM Yanga kama CHADEMA
Bora wewe unakubali udhaifu, ukweli Ni kuwa Uhuru kilikuwa na mashabiki wasiopungua 15imebidi TV zizimwe na wamerudishiwa 2000 zao. inasemekana TV hazikuwa na sauti na pia hazikutoa kwaliti ya kutoaha
Yatakuwa ni matumizi mabaya ya rasilimali watu. Wawe wanapokezana kwa pair pair kila mechiHapana mkuu kutakuwa na balaa zito sana Kama huyu Bwalya kicheza 8 alafu Chama acheze 8 kama assistant forward, Luis acheze 7 na kushoto 11 acheze Morrison hapo hapo utaipenda Simba sasa
Nadhani anacheza hivi sababu pale nyuma anakosekana Wawa leo back line haijatimia yeye anacheza Kama kiraka leoHuyu fagio lazima limpitie sidhani kama anamuda mrefu
Let's picha za watu wakiwa Uhuru Kama zipo.Kubali tu ukweli sio kila mwaka Ni sawa.Mwanaume kuwa muongo kiasi hiki hata huoni aibu!
Usishangae mashabiki, shangaa wachezajiMbona hata uwanja wa Mkapa haujajaa mkuu??? Na ningeshangaaa
Achana naye huyo nimemsikia sasa hivi tbc akipiga simu eti anaitakia vitalo ushindiMwanaume kuwa muongo kiasi hiki hata huoni aibu!
Wawa yuko makini sana afu anauchungu na timuNadhani anacheza hivi sababu pale nuyuma anakosekana Wawa leo back line haijatimia yeye anacheza Kama kiraka leo
Sawa umesikika, Uhuru hakuna watu. Hebu sasa tuangalie burudaniLet's picha za watu wakiwa Uhuru Kama zipo.Kubali tu ukweli sio kila mwaka Ni sawa.
Leta drone tu-snap hiyo picha maana kwa hii nyomi inatakiwa picha uchukuliwe kutoka juuLet's picha za watu wakiwa Uhuru Kama zipo.Kubali tu ukweli sio kila mwaka Ni sawa.
Na magoli piaUsishangae mashabiki, shangaa wachezaji
Achana naye huyo nimemsikia sasa hivi tbc akipiga simu eti anaitakia vitalo ushindi
Baada ya simu kukata limeingia la tatu
Jamaa analilia apdates.hiii,,,maweeee.Sasa mkuu JF wanaoleta updates ni kama wewe member ,kwahiyo we pia ungesaidia kuleta updates ndo mambo yanavyoenda
Yaa burudani ipo, Kuna huyu Bwalya Ni fire, Kuna mugalu sijamwelewa, yule beki wa kesho Ni nyoka asiye na Simu. Lakini Simba hii bado haina tofauti na ya msimu mpya. Tunasubiri wakae pamoja ili timu iwe fire zaidi, lengo Ni kupunguza zile hamsa tukikutana na Wydad.Sawa umesikika, Uhuru hakuna watu. Hebu sasa tuangalie burudani