Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
mkuu kweli utakalia moto au unatania tuAdmins nimeweka hii ahadi kuwa ikitokea bahati mbaya. Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi. Na naomba members wawili au watatu wawepo kama mashaidi. Nikishindwa nipigwe ban mwezi mzima.
Simba ni team mbovu kwa Yanga. Simba haiwezi mfunga Yanga. HAIWEZEKANI. NI RAHISI NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANO KULIKO SIMBA KUMFUNGA YANGA TAREHE 23.
Nyinyi pia si huwa mnapigwa faini za kupita milango isiyosahihi? Sema hamuwezi kupewa faini ya Dola 20,000/= hamna hizo hela mtaandamana.Ukumbuke Simba wanashikilia rekodi ya uchawi barani Afrika na kupigwa faini na CAF ya Dola 20,000/=
na mimi ndo namshangaa hapa! Amekosa kingne cha kukalia?Mashabiki wa yanga bana..sasa kwa nini ukalie Moto ?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Natamani ifike haraka hiyo 23 wachomekwe mpini baada ya Hilal kuchomoa mwiko nyuma. Wanaongea sana utadhani wamesajili timu la kwenda kucheza UefaclUmeongea kama mwanamichezo. Hukutumia lugha za matusi. Hongera. Yanga hata ingepanga kikosi cha pili. Inajua udhaifu wa Simba nini. Niamini... Simba haiwezi mfunga yanga ikijitahidi ni draw.
Watapata kisingizio. Wamruhusu acheze baada ya hiyo aendelee na ban zakeMorison amepigwa ban mechi tatu ikiwepo ya jumapili
Wanapenda kupasha makalioMashabiki wa yanga bana..sasa kwa nini ukalie Moto ?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mpira hauko kama unavyania wewe, kwamba Okrah amsumbue Djuma?? Unadhani Yanga ni Prisons au Ruvu Shooting au KMC??Hamna haja ya matusi. Kinachotakiwa ni kuangalia uhalisia badala ya kuangalia tunachopenda. Kwa sasa tumeona Okra akiwa kwenye ubora wa hali ya juu na ile mipira mirefu italazimisha Djuma asipande kabisa huku Kisinda au Moloko wakilazimika kurudi kumsaidia Djuma. Katikati wakicheza viungo katili wawili Putin na Mzamiru ni dhahiri kuwa watakata mawasiliano na kulazimisha Yanga wacheze pasi ndefu kama Simba ambayo tunajua hawana uzoefu huo. Upande wa Kibwana itakuwa ana changamoto ya kumdhibiti Sakho huku Chama akiwa anapitia upande huo pia.
Mayele kama ilivyokuwa jana hataweza kupata ayempt hata moja kwa kuwa mipira itakuwa haimfikii au atalazimika kuja kuifuata katikati.
Bangala pale kati itakuwa hana kazi kabisa hivyo itabidi atoke mapema sana.
Game ya Jumapili sioni yanga wakipata hata sare.
Sasa wewe ndio unachukulia Yanga watacheza na Ruvu kila siku. Djuma hana uwezo wa kumdhibiti Okrah.... Tarehe 23 tutakumbushanaMpira hauko kama unavyania wewe, kwamba Okrah amsumbue Djuma?? Unadhani Yanga ni Prisons au Ruvu Shooting au KMC??
Jifunze hata kuandika kwa vituo basi.Ndio mkae kwa kutulia acheni porojo kama wauza karanga, kikosi bora kitajulikana siku iyo, yanga sio ihefu ya angola mliyocheza nayo, yanga inabaki kuwa yanga mkae mnalijua hilo, mjue mnakwenda kukutana na timu bora na msiende na matokeo yenu mfukoni kama ambavyo mnafanya mnapocheza na timu nyingine, hii sio bata bullets wala de agosto hii ni yanga brother unapoongea vitu uwe na akiba ya maneno usijitoe ufahamu kiivyo utajidhalilisha bure
Matusi ya nini?? BABA YAKO NI SHOGA?? Namfahamu ni YANGA damu, tangu kijijini huko. Au unahisi wewe hatukujui??50% ya mashabiki wa yanga ni wanawake
40% ya mashabiki wa yanga ni mashoga
Hawa wanaume 10% sijui bado wanafanya nini huko
Basi hali yao ni mbaya zaidi. Itabidi Makambo aanzeMorison amepigwa ban mechi tatu ikiwepo ya jumapili
Dada yangu, linapokuja suala la DABI, YANGA hana masikhara kabisa, mtawashiwa moto hadi mpoteane.Wajuba wa Simba jiandaeni kumvua nguo kabisa mimi nitakoka moto
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Amefanya nini cha maana so far??Sasa wewe ndio unachukulia Yanga watacheza na Ruvu kila siku. Djuma hana uwezo wa kumdhibiti Okrah.... Tarehe 23 tutakumbushana
Amesaidia timu kuwa kinara wa ligi kuu ikiwa na idadi kubwa zaidi ya magoli kuliko timu yoyote Tanzania.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Amefanya nini cha maana so far??