permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Muda wa kurudi Marumo umewadia[emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sisi UTO tunaanzia mchangani
Uliambiwa moja ya dalili za ushoga ni kukana uhalisia wako[emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sisi UTO tunaanzia mchangani
Mmh huu mtegoJKU VS Singida fontain gate Fc
Mshindi wa hapo atakutana na FUTURE Fc ya Misri.
Hili neno "ndani ya msimu mmoja" linafanya uonekane mpumbavu, Yanga haijafika hapo kwa msimu mmoja.Baada ya kutoka nafasi ya sabini na Hadi kumi na nane ndani ya nsimu mmoja. Wananchi wamepangwa na timu za kawaida sana na. Game zote wanamalizia nyumbani
Timu za South tumecheza nao mara nyingi kuliko nyinyi Yanga Sc.Hamna uwezo wa kucheza na timu za South [emoji28]
Quality unaweza kuiona kupitia wachezaji piaQuality hiyo umeiona wapi kwasababu tangu simba asajili haujaiona inacheza wewe mwanamke
Mshindwe nyie tu, hao wote ni kama Zalan tuYanga tukutane makundi. πππͺ
...Yaani mtu anasema ni Bingwa wa Ligi lakini bado anaanzia hatua za chini kabisa π
Utofauti wa Timu kubwa na Ndogo ndiyo huu.
Tukutane kimataifa πͺ
Nguvu moja πͺπͺ
Msimu uliopita malengo yalikua yapi na timu ikafika wapi??Hafu utashangaa wanatolewa na hao wajibuti. Timu imefika fainali msimu uliopita ila malengo yake msimu huu ni kufika hatua ya makundi
Kumbe mnaelewa huku ni kugumu zaidi, sasa zile kejeli za kuishia robo huwa zinatoka wapi?Msimu uliopita malengo yalikua yapi na timu ikafika wapi??
Ndivyo mambo yanavyoenda kijana, hujiwekei malengo makubwa ambayo hujawahi kuyakaribia unaanza mdogo mdogo.
Mpaka hapo shirikisho tunadai kombe tu, kwa maana hiyo kama tungekua shirikisho malengo yangekua ni ubingwa tu. Lakini kwa huku kwakua bado ni wageni malengo ndio hayo na sio kua hatuwezi vuka!! Hadi fainali tunaweza kufika we subiri mkuu.
Ndio robo kila mwaka sasaKumbe mnaelewa huku ni kugumu zaidi, sasa zile kejeli za kuishia robo huwa zinatoka wapi?
Kuiona quality ya mchezaji ni mpaka umuone anacheza sio kutumia hisiaQuality unaweza kuiona kupitia wachezaji pia