Simba SC 1-3 Jwaneng Galaxy FC | CAFCL | Simba yatolewa klabu bingwa Afrika

Simba SC 1-3 Jwaneng Galaxy FC | CAFCL | Simba yatolewa klabu bingwa Afrika

Nguvu
Ni Simba Sports Club Dhidi Ya Jwaneng Galaxy Fc Kutoka Botswana.

Baada ya Mechi Iliyopita Simba Sc Kuibuka na Ushindi wa Goli Mbili Bila Ugenini, Leo Jwaneng Galaxy Wanakuwa na Kibarua Kizito mbele ya Miamba ya Soka Afrika Simba Sc kuhakikisha Wanapata Ushindi Wa Goli 3 bila Dhidi ya Wenyeji Wa Mchezo.

Mchezo Utaanza Saa 10 jioni Kwa Saa Za Afrika Mashariki na Saa 9 alasiri kwa saa Za Botswana.

Baada Ya Miamba Kadhaa Kuanguza Jana Kwenye Champions League Leo Ni zamu ya Simba.

Je Simba Atafuzu Kuelekea Hatua Ya Makundi?

Tuwe hapa Kwa Dakika 90
View attachment 1985361
Nguvu moja
 
Ni Simba Sports Club Dhidi Ya Jwaneng Galaxy Fc Kutoka Botswana.

Baada ya Mechi Iliyopita Simba Sc Kuibuka na Ushindi wa Goli Mbili Bila Ugenini, Leo Jwaneng Galaxy Wanakuwa na Kibarua Kizito mbele ya Miamba ya Soka Afrika Simba Sc kuhakikisha Wanapata Ushindi Wa Goli 3 bila Dhidi ya Wenyeji Wa Mchezo.

Mchezo Utaanza Saa 10 jioni Kwa Saa Za Afrika Mashariki na Saa 9 alasiri kwa saa Za Botswana.

Baada Ya Miamba Kadhaa Kuanguza Jana Kwenye Champions League Leo Ni zamu ya Simba.

Je Simba Atafuzu Kuelekea Hatua Ya Makundi?

Tuwe hapa Kwa Dakika 90
View attachment 1985361
Cc: NAWATAFUNA
OKW BOBAN SUNZU
 
Dilunga ni brainheart kwenye soka kama Morrison tu
 
Back
Top Bottom