wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Kama nawaona utopolo wanavyotamani maajabu yatokee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni moja kati ya maajabu yaliyoko Simba. Makocha wengine huwa wanajitafutia lawamaHivi Kocha wetu Anashida Gani Na Duncan Nyoni? Hadi siku aje Kuondoka Ndio Atajua Dhamani Yake?
Nguvu mojaNi Simba Sports Club Dhidi Ya Jwaneng Galaxy Fc Kutoka Botswana.
Baada ya Mechi Iliyopita Simba Sc Kuibuka na Ushindi wa Goli Mbili Bila Ugenini, Leo Jwaneng Galaxy Wanakuwa na Kibarua Kizito mbele ya Miamba ya Soka Afrika Simba Sc kuhakikisha Wanapata Ushindi Wa Goli 3 bila Dhidi ya Wenyeji Wa Mchezo.
Mchezo Utaanza Saa 10 jioni Kwa Saa Za Afrika Mashariki na Saa 9 alasiri kwa saa Za Botswana.
Baada Ya Miamba Kadhaa Kuanguza Jana Kwenye Champions League Leo Ni zamu ya Simba.
Je Simba Atafuzu Kuelekea Hatua Ya Makundi?
Tuwe hapa Kwa Dakika 90
View attachment 1985361
Sawa dada. ENDELEA KUOTA MCHANAMnakula 3 mikia..
Cc: NAWATAFUNANi Simba Sports Club Dhidi Ya Jwaneng Galaxy Fc Kutoka Botswana.
Baada ya Mechi Iliyopita Simba Sc Kuibuka na Ushindi wa Goli Mbili Bila Ugenini, Leo Jwaneng Galaxy Wanakuwa na Kibarua Kizito mbele ya Miamba ya Soka Afrika Simba Sc kuhakikisha Wanapata Ushindi Wa Goli 3 bila Dhidi ya Wenyeji Wa Mchezo.
Mchezo Utaanza Saa 10 jioni Kwa Saa Za Afrika Mashariki na Saa 9 alasiri kwa saa Za Botswana.
Baada Ya Miamba Kadhaa Kuanguza Jana Kwenye Champions League Leo Ni zamu ya Simba.
Je Simba Atafuzu Kuelekea Hatua Ya Makundi?
Tuwe hapa Kwa Dakika 90
View attachment 1985361