Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuweni wazalendo bhana !Wakikujibu unipe taarifa mkuu.[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuweni wazalendo bhana !Wakikujibu unipe taarifa mkuu.[emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa mkapa eti.Kwa Mkapa si huwa hatoki mtu?[emoji1][emoji1]
Yaani anaielekeza timu kwa kutumia njia za kidijitali 😁😁😁 kumbe ni ungumbalu mtupu!!Kocha hana viwango yupo jukwaani sijui anampigia nani simu..........
Apana bado hatujatoka kwenye mashindano tunaenda shirikishoWkend mbovuuuu
Aaah unasema kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani katoka? Mechi imeisha katoka kwani? Hata akifikisha matatu atakua ametoka
Anelekea wapiSimba anapita hapa hata iweje ila kuna namna ya kujitafakari vizuri kama timu
Nabii usiye na kanisa.Mnakula 3 mikia..
wazee wa makundiApana bado hatujatoka kwenye mashindano tunaenda shirikisho
Dah! Kutoka Championship mpaka Shirikisho!! Halafu unatolewa na timu ambayo ulishaipiga mbili bila kwao!!!Wanasubiri droo ya shirikisho wajue watapangwa na nani kwenye play off
Sema uliona mbali mwanzoni ulijisemea.UD Songo style daaah
Hawa si ndo mabeki bora pumbav sana TFFPoor makiing toka kwa Tshabalala,Lwanga,Wawa na Inonga
Hahaha dah leo sijui nikachekee wap .Mna kikos kipana tulia
Balla kwenye making yupo poor, matcha na As.Vita alikua anasaidiwa na luisPoor makiing toka kwa Tshabalala,Lwanga,Wawa na Inonga
Simba badala ya kusajili wachezaji mlisajili magari, mechi za ligi zenyewe zimewawia ngumu mmebakia kuituhumu Yanga inahonga timu pinzani, Galaxy nao wamehongwa na Yanga.Barcelona inafungwa sembuse simba? Over confidence ndo ttz
Wale wazee na umri wao hawaijui game management? wanaongoza 3-0 aggregate wanafeli wapi? wachezaji wa Simba ni wazee lakini akili za kitoto, magoli wanayoruhusu yanaonesha hata common sense hawana.Barcelona inafungwa sembuse simba? Over confidence ndo ttz
Mlizidi midomo wakati hamna timuKufungwa sio poa lakini ndio matokeo ya mpira, tumepoteza kwakuwa tulienda na matokeo yetu mifukoni, tulijiona tumeshavuka, niseme tu ukweli beki zetu kushoto kulia kwa sasa wamechoka sana, na kocha kwakweli mbinu zimemuishia, unatoa boko unaingiza kagere tunashambuliwa, bado dakika tano aisee, mimi namkubali sana Zahera sijui simba walichelewa nini kumchukua, wengine wamejazwa tu pale hamna lolote kiukweli, ligi itakuwa ngumu sana kwetu kama hatutabadilika, kuna watu simba kiukweli wanachezea majina tu kimpira wameshaelekea kibra.
Anapiga simu anamwambia msaidizi mtoe yule, mwambie wawa akabe vzr.Kocha hana viwango yupo jukwaani sijui anampigia nani simu..........