Ishu ya Mogela na viongozi ilikuwaje?. wengine hatufahamu kama unaweza weka nyama kidogo maana Jamaa nilimkubali sana ,Golden Boy Zamoyoni Mogela.Mogela alienda yanga Kwa sababu baadhi ya viongozi wa Simba walimkataa na Wala sio sababu ya pesa.
Halafu nashangaa kusikia yanga wanamtaka Chama wakati wanaye feitoto na Aziz K ambao wamemzidi uwezo Chama.
Na ndio maana unaona sijajibu hoja kumbe huzisomi, hicho ulichokiandika kuna mwenzako alikiandikaBadala ya kujibu hoja ya Mleta uzi umeleta stori za kusadikika.
Kama Manzoki anaipenda Simba na akaenda China ni vipi isiwezekane bado kuipenda Simba akaenda Yanga?.
Asifananishwe kwani ye anachezea melini?Unamfananisha Babu Ronaldo mwenye kila kitu,fedha,umaarufu na mataji?
Unga alianza manji na tuna mashaka hata huyu alifundishwa na ManjiKwa hiki ulichokiandika nimeng'amua tunajibishana na mtu wa aina gani, Yani wachezaji wawe na ndoto ya kwenda kucheza kwa wabwia unga na walozi? Uko sawa sawa kweli wewe kichwani? Akuna mchezaji mwenye akili timamu anayeweza kutoka Yanga kwenye maisha bomba eti aende kusajiliwa simba labda uyo awe ajielewi, Utoke kwenye timu inayoendeshwa kiuwazi uende kwenye timu inayoendeshwa kama timu za mitaani utakuwa una akili
Bado hujajibu nilokuuliza hapoNa sio yeye tu hadi Miquison
Kuna viongozi wapuuzi ndio wanaostaafisha wachezaji mapema aliporudi toka uarabuni akataka kusajiliwa Simba ila viongozi wakadai uwezo wake umeisha ndio akaenda upande wa kiIshu ya Mogela na viongozi ilikuwaje?. wengine hatufahamu kama unaweza weka nyama kidogo maana Jamaa nilimkubali sana ,Golden Boy Zamoyoni Mogela.
Zamoyoni sijui zaFigo hakusaidii chochote kujibu hoja yangu, wala swala la kutanguliana kuzaliwa sio issue hususani kwenye karne yenye ukuaji wa tehama ambayo hata mtoto wa miaka 9 anaweza kumprove wrong mzee wa miaka 60 kwenye habari ambayo inazungumzia tukio la miaka 30 iliyopita
Hao wachezaji uliowataja kama references ukiangalia wote hao hawakua kwenye competition ya kuwaniwa na hizo timu uliziozitaja, wengine hapo walitolewa kwa mikopo na timu zao kwenda kwenye timu zingine means mchezaji hakuwa na option
Kwanini Yanga ilishindwa kumchukua Chama kama hakuna mapenzi binafsi ya mchezaji kwa club?Wewe umekaririshwa eti, Nani kakwambia mbele ya pesa unatanguliza mapenzi? Uyo Manzoki unaemsema anaipenda Simba tu alizaliwa nayo? Mnaokoteza habari za udaku uko mitaani na propaganda za mitandaoni mnaleta hapa jukwaani, Sasa akisajiliwa yanga utasemaje labda kwa mfano, Eti yanga walimfata akakataa yani mashabiki wa umbumbuni mnalishwa matango pori na nyie mnaingia mazima matokeo yake akisajiliwa yanga ndio wengine mnaanza maandamano kumtaka babra ajiuzulu akiwauliza ni nani aliwaambia wanamsajili manzoki mnaleta reference za mitandaoni[emoji1787][emoji1787]
Baada ya kucheza Yanga akaenda wapi? Unadhni kwanini alienda huko tena?Hata Okwi pamoja na kuwa na mahaba ya wazi na Simba, kacheza Yanga pia.
Ukisoma comments zake unaweza kudhani Simba ndio TP Mazembe iliyochukuwa ubingwa wa Africa Mara tano na wana tajiri Mose Katumbi.[emoji23][emoji23]ila wewe jamaa kuna mda zinafyatuka kwa kipi hasa mlicho fanya huko CAF ?
We kima mtoto mbona ngassa aliacha mapesa ya al merreikk ili tu aje acheze dabi ya uto vs simbaBora shule zifunguliwe maana mna utoto sana kichwani.
Yaani mtu aache hela kisa anapenda timu fulani?
Vipi ngassa kukacha pesa za wasudani ili tu aje akipige kwenye timu yake ya moyoni ulikuw mdogo kipindi hicho?Wewe umekaririshwa eti, Nani kakwambia mbele ya pesa unatanguliza mapenzi? Uyo Manzoki unaemsema anaipenda Simba tu alizaliwa nayo? Mnaokoteza habari za udaku uko mitaani na propaganda za mitandaoni mnaleta hapa jukwaani, Sasa akisajiliwa yanga utasemaje labda kwa mfano, Eti yanga walimfata akakataa yani mashabiki wa umbumbuni mnalishwa matango pori na nyie mnaingia mazima matokeo yake akisajiliwa yanga ndio wengine mnaanza maandamano kumtaka babra ajiuzulu akiwauliza ni nani aliwaambia wanamsajili manzoki mnaleta reference za mitandaoniš¤£š¤£
Mfano rahisi mrisho ngassa alikacha mapesa kisa kuichezea derby ya uto na simbaWe ulisikia wapi hayo mambo yaani mtu aache hela kisa mapenzi ya timu?
Aliemtoa zenj fei ndie aliemsainisha fei utopolo dakika saa chache tu baada ya kusaini singida utdKwa nini asiende iwapo hao Azam wamefuata taratibu zote za kumsajili! Mbona Fei Toto huyo huyo alipotoka timu yake ya JKU kule Zanzibar ili kuja kutafuta malisho bora huku Bara, kituo cha kwanza kilikuwa ni Msimbazi!! (Na hii ni kwa mujibu wa mahojiano yake mwenyewe aliyofanya na Azam Tv)!!
Baada ya kushindwana na Simba kwenye maslahi, ndipo Singida United ya wakati huo ikamsajili! Na ndani ya muda mfupi, yalifanyika makubaliano; akasajiliwa Yanga, kama ilivyotokea kwa Habibu Kiyombo msimu huu, pale aliposajiliwa na simba kutoka Singida Big Stars.
Acha ubishi wewe! Nilifuatilia mahojiano yake mwanzo mwisho! Mchezaji amesema mwenyewe alipokuja Bara kutaka kusajiliwa, kituo cha kwanza kilikuwa ni Msimbazi!Aliemtoa zenj fei ndie aliemsainisha fei utopolo dakika saa chache tu baada ya kusaini singida utd
Na mmiliki wa fei ni mwigulu nchemba uto dam dam na alimleta utopolo baada ya kuona timu yenu haina uwezo wa kusajili wachezaji wazuri (ukata)
Ngasa ni mkongo? unawajua wakongo na waganda linapokuja swala la pesa?Vipi ngassa kukacha pesa za wasudani ili tu aje akipige kwenye timu yake ya moyoni ulikuw mdogo kipindi hicho?