DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Simba na yanga ni km ccm na chadema hakuna kuombeana mazuri ni undava undava tu... Kwa kumalizia nasema hivi " YANGA NI WASENGEEHMpira haukogo hivyo broo,simba na yanga hazijawahi kuombeana mazuri Na haitokuja kutokea
Kitonga.Kwann Asec na co Mamelod c mnataka ubingwa ninyi!!!!!!
Kuna utani wa mpira naweza kuelewa lakini linapokuja suala ka afya ya mtu hakuna utani. Huo siyo utu.Ama kwà hakika Mpirà ni mchezo wa wazi,hauna longolongo kwà watu wanaoamini Mpirà ni sayansi.
Ni wiki sasa tangu ule upande wa MAJINI FC ushinde goli zao nne na kupelekea benchi zima la ufundi likiongozwa na msemaji wao Ally Komwe kuzimia na kulazwa Hospitali ya Mwananyamala 8kutokana na kutoamini kuwa kweli wamefuzu robo fainali au ndoto za Mchana?
Huku wakiwakejeli Simba ambao wamewafikisha mahali walipo hivi sasa.mechi za makundi zimeisha na Timu zote hasimu kutingà robo fainali,huku Simba ikijikisanyia alama 9 na Yanga FC Alama 8
Hata hivyo Simba imekuwa na uwiano wa magoli 7 Kuliko Timu yeyote zilizoshiriki kwenye CAFCL hatua ya Màkundi.Onyo Yanga punguzeni mdomo haya mashindano Simba ni kama kushiriki MAPINDUZI CUP.
Wewe ni mfugo mwingine wa mangungu, goli 6 za kumfunga jwaneng ambayo nafasi yake kwenye rank za fifa aijulikani unaanza kulinganisha na Belouzdad inayoshika nafasi ya 7 kwenye rank za fifa iliyochakazwa goli 4 mtungi? Kiwango Cha jwaneng ambayo ni Kama Ruvu shooting ya masau bwire ndiyo unajitapa hapa kwamba umeifunga timu ya maana? Na bado pamoja na ubovu wao mlishinda mnaloga mwanzo mwisho🤔🤔Ama kwà hakika Mpirà ni mchezo wa wazi,hauna longolongo kwà watu wanaoamini Mpirà ni sayansi.
Ni wiki sasa tangu ule upande wa MAJINI FC ushinde goli zao nne na kupelekea benchi zima la ufundi likiongozwa na msemaji wao Ally Komwe kuzimia na kulazwa Hospitali ya Mwananyamala 8kutokana na kutoamini kuwa kweli wamefuzu robo fainali au ndoto za Mchana?
Huku wakiwakejeli Simba ambao wamewafikisha mahali walipo hivi sasa.mechi za makundi zimeisha na Timu zote hasimu kutingà robo fainali,huku Simba ikijikisanyia alama 9 na Yanga FC Alama 8
Hata hivyo Simba imekuwa na uwiano wa magoli 7 Kuliko Timu yeyote zilizoshiriki kwenye CAFCL hatua ya Màkundi.Onyo Yanga punguzeni mdomo haya mashindano Simba ni kama kushiriki MAPINDUZI CUP.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi baas. Ila JF bhana.Acha izoo mkuuu umejuaje je ushawahi kumuona kwa Nini unapenda kudhalilisha wanawake
Mimi mbona namjua huyo vizuri kuwa ni she au umeiandika ili kujifurahisha hapa wewe embu jitahidi kuwa na heshima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuifananisha Yanga na Simba ni makosa, Yanga ni timu inayochipukia
😂🤣😁 Kijana anaona wewe ni mwanaume wakati wewe ni mtoto wa kingoni una bonge la shepu 😋 kijana hapa inafaa aombe msamaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi baas. Ila JF bhana.
Haya piganeni nyie wenyewe wana uto, afu mie ntaleta dawa ya kutuliza maumivu.
Medeama mlimfunga ngapi? Na rank yake ya FIFA ikojee?Wewe ni mfugo mwingine wa mangungu, goli 6 za kumfunga jwaneng ambayo nafasi yake kwenye rank za fifa aijulikani unaanza kulinganisha na Belouzdad inayoshika nafasi ya 7 kwenye rank za fifa iliyochakazwa goli 4 mtungi? Kiwango Cha jwaneng ambayo ni Kama Ruvu shooting ya masau bwire ndiyo unajitapa hapa kwamba umeifunga timu ya maana? Na bado pamoja na ubovu wao mlishinda mnaloga mwanzo mwisho[emoji848][emoji848]
Mko sawa vichwani nyie?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majini uchwara ya Avic town yanawaharibu wenzio ujue, na huu ushindi wa [emoji881]ndo wanavurugwaa mbayaa.[emoji23][emoji1787][emoji16] Kijana anaona wewe ni mwanaume wakati wewe ni mtoto wa kingoni una bonge la shepu [emoji39] kijana hapa inafaa aombe msamaha
Unaongea upuuzi maana hata kule failure cup mlivyomfunga malumo garants wa daraja la kwanza pia mlitupigia kelele so tushawazoea...mkuu 4 kafungwa boluzdad ya 7 kwa ubora jwaneng yu wapi?
Aisee bro ume mistook konyagi from tea!Ama kwà hakika Mpirà ni mchezo wa wazi,hauna longolongo kwà watu wanaoamini Mpirà ni sayansi.
Ni wiki sasa tangu ule upande wa MAJINI FC ushinde goli zao nne na kupelekea benchi zima la ufundi likiongozwa na msemaji wao Ally Komwe kuzimia na kulazwa Hospitali ya Mwananyamala 8kutokana na kutoamini kuwa kweli wamefuzu robo fainali au ndoto za Mchana?
Huku wakiwakejeli Simba ambao wamewafikisha mahali walipo hivi sasa.mechi za makundi zimeisha na Timu zote hasimu kutingà robo fainali,huku Simba ikijikisanyia alama 9 na Yanga FC Alama 8
Hata hivyo Simba imekuwa na uwiano wa magoli 7 Kuliko Timu yeyote zilizoshiriki kwenye CAFCL hatua ya Màkundi.Onyo Yanga punguzeni mdomo haya mashindano Simba ni kama kushiriki MAPINDUZI CUP.
Kijana kachanganyikiwa sana inabidi aje kuomba msamaha kwa Binti wa kingoni hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majini uchwara ya Avic town yanawaharibu wenzio ujue, na huu ushindi wa [emoji881]ndo wanavurugwaa mbayaa.
Huenda anataka nimkazee, akujee nna De bolo tena tango haswaa.
[emoji23][emoji23][emoji23], watu waliochanganyikiwa huwa nawataka sana
Hapo ulipo umejaa kinyesi....Simba kacheza na Jwaneng Galaxy hawajawahi kufuzu robo fainali kwa miaka mitano mfululizo, miaka mitano mfululizo aidha hawafiki kwenye makundi ama wanashika mkia kwenye makundi.
Yanga kakutana na Belouzdad ambae kafuzu robo fainali mara tatu mfululizo na mwaka huu ilibidi iwe mara ya nne lakini Yanga wamewakatisha safari yao
Simba kajipigia vibonde wenzake, Yanga kapita tanuri la moto
Tena waligongwa 5 kwa sufuriMbona wewe umekolewa hizo hizo na simba
Akili ya mwanaYanga: Belouz kafuzu robo fainali mara tatu sio kibonde, Simba anayefuzu mara ya 5 hii ni kibonde.Simba kacheza na Jwaneng Galaxy hawajawahi kufuzu robo fainali kwa miaka mitano mfululizo, miaka mitano mfululizo aidha hawafiki kwenye makundi ama wanashika mkia kwenye makundi.
Yanga kakutana na Belouzdad ambae kafuzu robo fainali mara tatu mfululizo na mwaka huu ilibidi iwe mara ya nne lakini Yanga wamewakatisha safari yao
Simba kajipigia vibonde wenzake, Yanga kapita tanuri la moto
Al merrikh na AS vita ni wachumba bado kundi jepesi hilo.Kwani wydad ambaye alikuwa mshindi wa pili alikuwa kundi lipi ? Naye ni kibonde ?
Nyingine hii hapaView attachment 2922575
Kama kweli unaujua mpira huwezi ifananisha Medeama na Jwaneng.Na medeama mlimfunga ngapi? Naye yu wapiii?
1.SimbaAisee bro ume mistook konyagi from tea!
Tizama kundi alilocheza Yanga na tizama kundi alilocheza Simba.
Yanga hajakutana na mnyonge hata mmoja Al ahly,CRB,Medeama wote hakuna mnyonge.
Simba imeifunga TIMU YA VILEMA JWANENG GALAXY UTAIFANANISHAJE NA BELOUZDAD??
Embu wape heshima yao Yanga.
Kwa hao wachezaji waliopo simba ngojea ikakutane na timu iliyo serious na kucheza halafu tuje tuongee hapa.