vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Hiyo mbili umeitolea wapi?Taarifa ya nini wakati sheria inaruhusu timu ya ugenini ifanye mazoezi angalau mara mbili muda wa mechi itaochezwa kabla ya siku ya mechi?
Weka hiyo sheria inayotaka timu inatakiwa itoe taarifa kwa meneja