Sasa kwa nini jana Simba haikupewa pointi 3 ndugu! Hivi kuna mwamuzi yeyote aliyekuwepo wakati mnauza sura pale uwanjani? Manala anawapatia sana mikia!kama Yanga kweli walipigiwa wakakubali then wakademka na kudeka baada ya reaction ya mashabiki wao sioni namna ya deko hilo kutokuchukuliwa adhabu
na kanuni ya 31 inailinda TFF kuwa ikiona ni dharura yaweza ahirisha muda wa mechi
Tatizo ni kwamba kama yanga ilikubaliana na Bodi ya Ligi kama ni kweli siwaungi mkono
Ebu tuonyesheM
wechi ya azam taarifa ilitolewa mapema kwamba kuna mashindao ya kurani ikaeleweka kuhusu biashara sikumbuki,suala kubwa jana sababu ni nini ?tunataka kujua wamepeleka mbele kwa ajili gani mbona hawasemi
Unajua mechi na azam ilibadalishwa muda siku gani Saa ngapi na sababu gani?Usiwapambe sana Yanga hata wao wamefanya hivyo sababu wana visasi vyao na TFF, wameona hii mechi ndio ya kulipiza kisasi, mbona mechi za biashara na azam muda ulibadilishwa na wakacheza.
Yanga siyo timu ya mtu binafsi.Uto waliona kichaka wakamkimbia mnyama hatari. Tusilete ujuaji usio na maana tumeshavumilia mengi iweje tushindwe kuvumilia dakika 120 tu mechi ipigwe? Naungana na simba kwa hili tangu jana jioni, simba imeonesha ukomavu na kutii maagizo ya mamlaka halali. Yanga wamesababisha mashabiki wakose uhondo ukizingatia wengi wametoka mbali na wametumia gharama kufika hapo.
Ushauri: mechi ichezwe ndani ya wiki hii kwasababu wengi walinunua kifurushi cha wiki cha azam ili kuona mechi hii tu! vinginevyo nitaamini azam ni muhusika wa uvurugaji huu ili wanufaike mara 2 kuuza vifurushi vyao kwasababu hakuna muda ambao wanauza vifurushi kuliko kipindi cha mechi ya simba vs uto
Mkuu you really need to come to your sense. Yanga anamkimbiaje Simba? Hiyo game haitachezwa tena?! Au Yanga kahairisha game ili apate muda wa kuwaleta kina Messi na Mbappe wawafunge Simba?! Unakimbiaje mechi ambayo iwe iweje lazima ichezwe?Huu mchezo yanga ameupanga vyema ukapangika,sasa Simba analazimishwa kuucheza nje ya uwanja.
Yanga wanajua ni nani alitoa maelekezo yackuongeza muda,wanajua ni kwa nini maelekezo hayo yalitolewa,baadae TFF na bodi ya ligi wakaingia kichwa kichwa katika mchezo wasioujua,yanga wakafunga goli kwa kutumia kanuni,na leongo lao likawa limetimia.Kuikimbia Simba.
Nashauri Simba waende kwa akili sana
Hizo sababu za kiintelejensia unaleta wewe hazikuwepo wakati muda wa mechi unasogezwa acha upuuziukiambiwa na serikali usicheze muda huu kotokana na sababu za kiintelijensia ni lazima utii.
Haka nako kama malaya tu
Hii barua basi itakuwa imeandikwa na Manara akisaidiana na Madame Barbara,wote hawajui mpira.
Kususa ni kusimama kiume?Mmetuabisha viongozi wetu narudi tena mmetuabisha mnadhani kwamba mnawakomoa Yanga? Acheni u snitch nchi nzima inataka kujua nani alietoa amri saa saba mchana mechi ihaiirishwe hadi saa moja wakati pre match meeting imefanyika saa nne?
Au toka atekwe Mo Dewji wote mnatetemeka tu? Yanga wamesimama kiume tunataka kujua TFF walipokea maagizo kwa nani na kwa nini?