Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kamwaga naye atakuwa anapewa laki saba?Wapi picha ya Kamwaga tumuone?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamwaga naye atakuwa anapewa laki saba?Wapi picha ya Kamwaga tumuone?
Dah umepiga kwenye mshonoShida ni hii ilipo anzia boss anapenda fitna na pesa zenyewe hana View attachment 1871279
Hypocrites and Fools.Unamfokea nani sasa 🤣
Aya akili kubwa,siku njemaHypocrites and Fools.
Acha kufuraisha Yani manara kakuza jina la simba like serious, Simba inaheshimika kwa soka lake na sio mtu individualPamoja na kweli kua Simba imempatia jina kubwa na kuanza kupata deals nyingi nyingi,
lakini ukweli ni lazima usemwe pia Haji Manara alijitahidi kwa dhati kuchochea ukuaji wa jina la Simba kuimaridadisha na niukweli ameongeza washabiki ambao hawakupenda sana mpira kuichagua Simba kama timu yao rasmi.
Umaarufu ulimzidi, ukaanza kumpa kibri,ndio kosa kubwa alilolifanya na hapo ndipo ukawa mwisho wake.
Atalipwa Tsh Milioni 4 kwa Mwezi kama Mshahara ambao Haji Manara alizikataa kwakuwa anajua angeukubali huo Mshahara Basi zile 'endorsments' zake zingine za ASAS Diary, Azam Products na GSM zingefikia Ukomo.kamwaga naye atakuwa anapewa laki saba?
kwani, sasa manara atakuwa anafanya kazi gani, si ataendelea kujibrand ili hao waliokuwa wanamfaidisha wamfaidishe zaidi? mnafikiri mmemponza hapo?Kiburi kimeponza wengi akiwemo manara.
Na Mimi ndiyo GENTAMYCINE tu Mkuu.🤣🤣Genta unatisha...
Usiku wa manane umebipu asubuhi SSC WAMEIPIGA NGOMA..
Acha utoto mkuu Manara ni mtu maarufu tangia zamani. Hats kabla ya simba, amefanya kazi vituo vingi wa television. Na nakuhakikishia nyota take ndio kwanza itazidi kung'aa hulu msimbazi kukifubaaSimba ndio ilikua inambeba na ndio iliyompa umaarufu sana.
Sijui ila nadhani umaarufu wake utashuka labda aendelee na mipasho insta la sivyo hali itakua tete kwa wanaompa madili.
Ni upepo tu labda ahamie Yanga na sishangai kwa hizi timu za jadiAtawapakaa m.avi huyu manara subiri muone....
kuweni na hishma
Daah iyo incident umenikumbsha mkuu nimecheka sanaAlishawahi kuwa simba msemaji zamani pia ni mwandishi mzoefu sema nimekumbuka kisa kimoja nimecheka sana, simba ilikuwa inafanya vibaya miaka hiyo ikatokea vurugu pale msimbazi jamaa alitimuka mbio vibaya sana akaruka ukuta huku nyuma kawaachia manyoya ila ilikuwa ile simba yenye shida za pesa hata mshahara ilikuwa shida
Mafans wa simba mnaoenda hamsha hamsha sasa manara iwawin ila kwakuwa kamgusa mfazili wenu, mmnnaansa kusagia kunguniUto bwana,tangu lini uka sympathize na Simba?
Bora iyumbe kuliko kua na mtu ambae anayeiingiza taasisi nzima kwny conflicts kwa maslahi yake binafsi.Niseme tu kwamba, Idara ya usemaji itayumba
Arudishe magari yetu aliyoiba kwanzakabisa sasa ataona nguvu yake akiwa nje ya simba ni vyema ajipime vizuri mda si mrefu atarudi kwenye siasa za CCM
Huko insta followers wake wengi ni Simba. Wengi wata m unfollow na ndio umaarufu utazidi kushuka. Halafu zile kauli zake na waandishi wa habari sasa ndio watamsusa jumla.Simba ndio ilikua inambeba na ndio iliyompa umaarufu sana.
Sijui ila nadhani umaarufu wake utashuka labda aendelee na mipasho insta la sivyo hali itakua tete kwa wanaompa madili.