Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Unajipa matumaini siyo! Kwanza kwenye hiyo orodha ya wachezaji niliowataja hapo, amebakia Sure Boy pekee kwenye kikosi cha sasa. Na uhakika wa kuanza tarehe 19 ni 1% tu kwa mtazamo wangu.
Kweli??
 
Sasa si tulikubaliana tumeanzisha project. Hao Pacome na Aucho na uzee wao tunawapeleka wapi tena. Kuna watu wameshaanza kumtapeli Mo
 
Sasa si tulikubaliana tumeanzisha project. Hao Pacome na Aucho na uzee wao tunawapeleka wapi tena. Kuna watu wameshaanza kumtapeli Mo
Mo mwenyewe ndio anasimamia show.
 
Hujui chochote...
Naona unaropoka tu...

Ni Bora kukaa kimya kuliko kuongea Mambo ya kufikiria tu.
 
Wewe unawapigia debe hao wachezaji ili Yanga wapande dau katika kuhuisha mikataba yao inayoekekea ukingoni.
 
Pacoume nafasi yake kwa sasa Yanga imekua ndogo, ila naona simba waki push zaid wanaweza kumpata, na ndo utakua usajili wenye tija kuliko hata Aucho
Nafasi anayo anatumika kimataifa kwanzia hizi mechi za makundi ndo utamuona
 
Level ya Aucho sio ya kuifanyia comparison Simba labda Fountain Gate kushuka chini huko ndio utawapata wachezaji sampuli yake
Hater kwenye moja na mbili. Kwenye swala la Yanga na Simba akili huwa unaziweka kando kabisa unabakia na za kuvukia barabara tu. Uliongea maneno mabovu sana kwenye michuano ya klabu bingwa msimu uliopita kuwa Yanga kutovuka makundi, ukajifanya kama Mungu vile unayepanga nani aende nani abaki. Ila sasa naona swala la point za CAF gap ni 1.5 kati ya Simba na Yanga,sijui kikivyekwa hiki kichaka cha rank mtabakiwa na nini maana ile michuano ya mualiko nayo imefutwa.
 
#NguvuMoja🦁
#YNWA 🐔
Mbona uzi wa Liverpool humu hautembelei
Uzi ule huwa nautembelea mara chache.
Hata uzi mnyama sina mazoea nao kivile.
Ila kuhusu ishu ya shabiki wa yanga kukuzimia sigara daaa🙄🙄sijapenda hiyo😳😳
Usiruhusu ushabiki wa aina hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…