Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Hahahaha mm kinachonishangaza ni maoni ya humu

Kipindi Senzo anateuliwa walisema ndio MTU sahihi kwa Simba mpya sababu mzoefu wa mpira

Leo kateuliwa huyu wanabadilika wanakuambia huyu barba ni MTU sahihi kwa Simba cz inahitaji kukua kubiashara

Sasa najiuliza uteuzi UPI sasa Simba wako sahihi Senzo MTU wa mpira au Barba MTU wa masoko na biashara ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu chake, Barbara ana Profile nzuri sana na ni experienced very smart and professional lakini je kitendo cha ku serve kwa muda mrefu ivo kwa Mo kitamfanya kweli awe na personal decisions ya kuisogeza Club mbele? Je huoni hatakuwa Remote controlled mana amekuwa nurtured na METL na Apart of being Director na PA wa Mo foundation huyu bidada yupo very close na Mo inafikirisha sana aisee na wanasimba hili sio la kulikalia kimya mana impact yake itakuwa mbaya sana
 
Kigwa yuko sahihi sana kama mwanasimba ujio wa huyo bidada kama CEO wa Simba kwa kweli ni katika hali ya Mo kujiimarisha sana katika Decision making
Hiyo ni nafasi ya utawala Wala sio ufundi, Kigwa alitakiwa awe mtu wa mwisho kuhoji hili. Kama Ligi tu imeshindwa kupata udhamini wa maana itakua kwa timu? Mo na GSM pamoja na mapungufu yao lakini ni muhimu Sana katika hatua za awali kuelekea mabadiliko ya kimfumo.
 
Nafasi ya kiutawala ndio apewe mtu aliekaribu na Mtu mwenye 49 percentage ya total share?
 
Hahahaha, means Senzo alikua kikwazo kwa baadhi ya mambo ,hivyo akatolewa ili aweke MTU ambaye ata tiii amri za Tajiri

Hahahaha, uzuri wenye Nguvu 51% muhimu tunahitaji ushindi tu ,haya hatuoni mkituambia tunawaita majina yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na huyo bibie ajiandae haswa kuwa under stress mana regardless kuwa cheo chake ni cha utawala ila wabongo watamlaumu just incase club ikivurunda mana Nomination yake ime draw attention haswa na imekuwa criticized sana
 
Hahahahaha.
Mo kajenga viwanja viwili vya mpira.
Anasajiri wachezaji
Analipa mishahara ya wachezaji na viongozi wa Simba.
Analipa ghalama zote zingine.
Anafadhiri Simba Qeens
Anafadhiri Simba vijana na kuwaendeleza akina Kipenye na Rashidi Juma nk.

Sisi Simba tunamhitaji MO
Ajiweke mwenyewe, amweke Hawala yake au mtoto wake, sisi haituhusu.

Hivi bila MO si tutapigwa goli 20 Bila na Utopolo, ndio mnataka hivyo.

Yanga sio wajinga Kumbeba GSM kwenye Machela kama Watumwa.
Wameitwa Nyani, Mbwa, Utopolo, Vyula nk.
Mnafikiri ni mazuri hayo.
Wamekosa Kombe la Ligi miaka minne.

Kazi yenu kushangilia tu, Chama, Morrisoni, Kahata. Mnafikiri wamekuja Bure hapo.

Tulieni Dawa iwaingie.
Mnathubutu hata kuhoji maamuzi ya Management halali ya Simba.

Hata Yanga kamwe hawawezi kuziponda Juhudi za MO.
Nyinyi ni timu Mzee Kilomoni.





Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
Kigwa yuko sahihi sana kama mwanasimba ujio wa huyo bidada kama CEO wa Simba kwa kweli ni katika hali ya Mo kujiimarisha sana katika Decision making

Unamzungumzia Kigwangwala huyu aliyenyimwa Mkopo wa Bodaboda na MO akaanza majungu?

 
Unahama team kisa chaguzi za uongozi!, shabiki haami team hata siku moja, unaweza usikubaliane na yanayoendelea kwenye uongozi, ila huwez hama team kama ni shabiki wa kweli
 
Niliwahi kuandika hapo kabla kua huyu dada ndio chanzo cha Senzo kuondoka Simba. Watu walidhani sababu ni ujio wa Morrison. Mimi habari za Senzo kuondoka Simba nilikua nazo toka mwezi May.

Kifupi MO alikua akisikiliza habari mbili tofauti, kutoka kwa Senzo na kutoka kwa huyu Mdada. Atakachosema Senzo basi huulizwa huyu mdada aseme anaonaje. Cha Senzo chaweza kukubaliwa au kukataliwa kulingana na atakachosema want na Barbara.

Senzo amekua akilalamika kwa MO kua yeye ni Professional by qualifications, na by tittle hatakiwi kuingiliwa.

Kuna kipindi MO alikua hamtaki Kocha Sven, na Senzo ndo aliekua akimkingia kifua. Mpaka wakataka wote kuondoka kuhamia Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…